Ulishawahi kuwa na rafiki wa jinsia tofauti mliyeshibana sana?

Ulishawahi kuwa na rafiki wa jinsia tofauti mliyeshibana sana?

Grena

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
656
Reaction score
1,553
Habari zenu wakuu,

Nimemkumbuka kaka fulani tulikuwa marafiki sana tangu nikiwa secondary. Kwa miaka 10 alikuwa mtu wangu wa karibu sana, mshauri wangu kwenye kila Jambo.

Kiasili Mimi ni introvert, sipendi mashost, mashoga wale wakunijua kiundani. So kuwa na this guy ambae nlikuwa namwambia issue zangu ilinifanya niwe na amani sana atleast I have someone wakusikiliza matatizo yangu when I'm down.

Tulikuwa marafiki, kila mtu was so free and open kwa mwenzake. Akiwa na stress za Kazi, maisha au mahusiano atanipigia nimpe ushauri. Akipata msichana lazima aniulize unamuonaje huyu.

Nilikuwa nikiwa hata na stress za mahusiano au maisha, hata kama ni usiku wa manane nitampigia atapokea. Sometimes ninauchungu na hasira nikimpigia akipokea tu naanza na yowe nalia hapo atanibembeleza nikitulia naanza kumwadithia kilichojiri.

Alikuja kuoa later, Wife wake akaanza kumind urafiki wetu wakati kiukweli hatukuwa na cha zaidi. We spoke about it na niliamua tusitishe ukaribu wetu, Mke wake awe na Amani.

I really miss you Rafiki.
 
Dah since i met her 2010 tulipokutana kwenye basi la aboud from R chuga to .......
H ulikua bonge la mshakaji kwangu since hyo siku tuliyobadilishana namba
Ajabu tangu nimeoa (2020)uliondoa kabisa ukaribu kwangu and i decided to let our friendship go.nakukumbuka sana rafiki yangu.
 
Huyo ndio alikuwa mumeo. Amini usiamini.
Mtu unayefahamiana nae vyema ndio inapaswa kuingia nae ndoani.
Lkn cha ajabu unaenda kuoa au kuolewa na mtu usiyemjua vyema.
 
Nina rafiki yangu amenisaidia katika mengi hasa masomo.
Namuona kama ndugu yangu..
Ni rafiki huyo ambaye urafiki umedumu hadi leo.
Ananifaa nyakati zote,iwe shida,raha,mvua ,jua.

Wengine walikuwa wanafiki tu..wale wanafiki wote tushapotezana.
 
Dah since i met her 2010 tulipokutana kwenye basi la aboud from R chuga to .......
H ulikua bonge la mshakaji kwangu since hyo siku tuliyobadilishana namba
Ajabu tangu nimeoa (2020)uliondoa kabisa ukaribu kwangu and i decided to let our friendship go.nakukumbuka sana rafiki yangu.
Mkuu story yenu inafanana na yangu. Ulivyooa urafiki ukafa [emoji17]
 
Umenikumbusha msh'kaji wangu G,daah!!! Tulikuwa zaidi ya marafiki buanaa pale SJUT Dodoma,.yaani ni yule msh'kaji ambaye akisafiri akachelewa kurudi chuo na assignments zinatakiwa basi nakesha Google namfanyia na namkusanyia kabisaa and likewise,.mmoja kati yetu akiwa na changamoto yoyote ile hata ya mahusiano basi tutaumia wote,hadi kupiga 🍻🍻 tupo wote in short tulikuwa karibu kuliko tulivyokuwa na wapenzi wetu,.

Sijui kwann urafiki wetu ulikuja kuisha namna ile 😔ila najua ulikuwa damu yangu kinyama,.popote ulipo nakutakia tuu yenye kheir,tulibebana sanaa G,. anyway one love 💕
 
Umenikumbusha msh'kaji wangu G,daah!!! Tulikuwa zaidi ya marafiki buanaa pale SJUT Dodoma,.yaani ni yule msh'kaji ambaye akisafiri akachelewa kurudi chuo na assignments zinatakiwa basi nakesha Google namfanyia na namkusanyia kabisaa and likewise,.mmoja kati yetu akiwa na changamoto yoyote ile hata ya mahusiano basi tutaumia wote,hadi kupiga 🍻🍻 tupo wote in short tulikuwa karibu kuliko tulivyokuwa na wapenzi wetu,.

Sijui kwann urafiki wetu ulikuja kuisha namna ile 😔ila najua ulikuwa damu yangu kinyama,.popote ulipo nakutakia tuu yenye kheir,tulibebana sanaa G,. anyway one love 💕
Ngoja nikuambie kitu, once they get manipulative girlfriends or wives the friendship dies.
 
Umenikumbusha msh'kaji wangu G,daah!!! Tulikuwa zaidi ya marafiki buanaa pale SJUT Dodoma,.yaani ni yule msh'kaji ambaye akisafiri akachelewa kurudi chuo na assignments zinatakiwa basi nakesha Google namfanyia na namkusanyia kabisaa and likewise,.mmoja kati yetu akiwa na changamoto yoyote ile hata ya mahusiano basi tutaumia wote,hadi kupiga [emoji482][emoji482] tupo wote in short tulikuwa karibu kuliko tulivyokuwa na wapenzi wetu,.

Sijui kwann urafiki wetu ulikuja kuisha namna ile [emoji17]ila najua ulikuwa damu yangu kinyama,.popote ulipo nakutakia tuu yenye kheir,tulibebana sanaa G,. anyway one love [emoji177]
Ule MDEGREE mliufaidi wote!
 
Mi nilikuwa na rafiki wa opposite sex (female) ila Mimi nilizingua urafiki ukafa. Nilikopa sana Mpunga kwake halafu nikawa navunga siku zinaenda , nadhani alihisi nimemgeuza SUGAR MAMMY akakata kamba [emoji3][emoji3][emoji3]
Ila alikuwa RAFIKI HAKIKA!
 
Mi nilikuwa na rafiki wa opposite sex (female) ila Mimi nilizingua urafiki ukafa. Nilikopa sana Mpunga kwake halafu nikawa navunga siku zinaenda , nadhani alihisi nimemgeuza SUGAR MAMMY akakata kamba [emoji3][emoji3][emoji3]
Ila alikuwa RAFIKI HAKIKA!
Mkuu dizain Kama ulikuwa unamtumia huyo dada. Urafiki wa kweli Mara nyingi pesa haina nafasi labda Kama mmoja anashida inayohitaji msaada wa lazima.
Lakini mkianza kuombana pesa lazima urafiki ufe
 
Back
Top Bottom