ANKO JEI
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,302
- 2,462
Nilishawahi kuwa na rafiki,alinimotivate sana vitu vingi,nlikua sipendelei sana kusoma ila alikua ananihimiza mpaka nikawa nafauru pepa balaa.
Alikua na mtu wake i was there,jamaa alikua hanipendi hata kuskia jina,but rafiki yangu huyu alikua haelewi kuhusu mimi.
Kesi ilianza nilipopata mpenzi akaanza kuzuia hata nisipige stori na rafiki yangu,binafsi nilikua upande wa rafiki yangu nikimtetea kwasababu huyu mpenzi kaukuta urafiki
Baadae wakatafutana wakaanza kugombana,yule mpenzi akawa anamtukana rafiki yangu,nikamuonya,but huyu rafiki nae akavuka mstari akawa anamdhalilisha sana yule mpenzi,kiasi cha kutaka mimi nimsapoti kumnanga mpenzi wangu,alipoona sisapoti sana akaanza kunitoa.
Akajaga kwenda chuo,sasa si unajua wengine vyuo vinawabadilisha,bhasi akawa matawi ya juu,full zarau,urafiki ukaiaha like that.
But mchango wake kwenye elimu yangu ni mkubwa sana and namuheshimu mpaka kesho yule dada.
Alikua na mtu wake i was there,jamaa alikua hanipendi hata kuskia jina,but rafiki yangu huyu alikua haelewi kuhusu mimi.
Kesi ilianza nilipopata mpenzi akaanza kuzuia hata nisipige stori na rafiki yangu,binafsi nilikua upande wa rafiki yangu nikimtetea kwasababu huyu mpenzi kaukuta urafiki
Baadae wakatafutana wakaanza kugombana,yule mpenzi akawa anamtukana rafiki yangu,nikamuonya,but huyu rafiki nae akavuka mstari akawa anamdhalilisha sana yule mpenzi,kiasi cha kutaka mimi nimsapoti kumnanga mpenzi wangu,alipoona sisapoti sana akaanza kunitoa.
Akajaga kwenda chuo,sasa si unajua wengine vyuo vinawabadilisha,bhasi akawa matawi ya juu,full zarau,urafiki ukaiaha like that.
But mchango wake kwenye elimu yangu ni mkubwa sana and namuheshimu mpaka kesho yule dada.