Mimi ninao wakike watatu;
Namba 1.
Huyu nilisoma nae darasa moja shule ya msingi. Tukaachana sekondar. Tukasoma tena pamoja chuo kikuu. Hakuna Siri kati yetu, shida yake ni yangu yangu ni yake. Mshauri wangu mpaka leo, nami mshauri wake.
Ila nilimla mara kadhaa, yeye ndo chanzo. Siku ya kwanza kumla alikuja gheto akakuta nimepoa Kwan niligombana na mpz wangu. Daima hapend kuniona nakosa raha. Baada ya kumsimulia kisa,akasema yeye yupo nisiwaze! Kilichoendelea hapo mmmmhhhh.
Alichonishangaza aliwahi achana na mpz wake sababu yangu. Jamaa alitaka kuvunja urafiki wetu. Demu alimwambia asepe yeye, hatuache kwani tumejuana tangu utoto. Sasa ameolewa ana watoto watatu, ila mumewe(shemeji) anajua urafiki wetu ulivyo,hana Shaka nami.
Namba 1.
Huyu nilisoma nae darasa moja shule ya msingi. Tukaachana sekondar. Tukasoma tena pamoja chuo kikuu. Hakuna Siri kati yetu, shida yake ni yangu yangu ni yake. Mshauri wangu mpaka leo, nami mshauri wake.
Ila nilimla mara kadhaa, yeye ndo chanzo. Siku ya kwanza kumla alikuja gheto akakuta nimepoa Kwan niligombana na mpz wangu. Daima hapend kuniona nakosa raha. Baada ya kumsimulia kisa,akasema yeye yupo nisiwaze! Kilichoendelea hapo mmmmhhhh.
Alichonishangaza aliwahi achana na mpz wake sababu yangu. Jamaa alitaka kuvunja urafiki wetu. Demu alimwambia asepe yeye, hatuache kwani tumejuana tangu utoto. Sasa ameolewa ana watoto watatu, ila mumewe(shemeji) anajua urafiki wetu ulivyo,hana Shaka nami.