Ulishawahi kuwa na rafiki wa jinsia tofauti mliyeshibana sana?

Ulishawahi kuwa na rafiki wa jinsia tofauti mliyeshibana sana?

Ongea na watu , na wewe pia wasaidie sio usaidiwe wewe tu wapigie simu ,salimia sio kila siku utafutwe wewe kwani we nani



Acha majivuno uone kama utaendelea kuita watu wanafiki
Wapi nimeandika kwamba kila siku natafutwa mimi?
Wapi nimeandika kila siku nasaidiwa mimi tu?
Jf watu mnapenda sana kupigia watu ramli.
Mlishapata na sababu za urafiki wa watu kufa.
Una hakika gani kama huyo rafiki ninayemsema nawasiliana naye kila siku na namtafuta au ananitafuta kila siku?
 
Umetuangusha sana wanaume, unakopa kwa dem afu unazingua kumlipa? dah nyie ndo matapeli wa baadaye.
Mi nilikuwa na rafiki wa opposite sex (female) ila Mimi nilizingua urafiki ukafa. Nilikopa sana Mpunga kwake halafu nikawa navunga siku zinaenda , nadhani alihisi nimemgeuza SUGAR MAMMY akakata kamba [emoji3][emoji3][emoji3]
Ila alikuwa RAFIKI HAKIKA!umetu
 
umetuangusha sana wanaume, unakopa kwa dem afu unazingua kumlipa? dah nyie ndo matapeli wa baadaye.
Kuna wengine wanakopa hata mara nyingi na hawarudishi.
Anakupiga chenga ,, baadaye tena anarudi na stori kibao na anakopa tena,hajisikii hata aibu..na harudishi.
Akimkuta mtu asiyejua kudai ndio basi tena,anamchukulia kama mjinga.
Ni bora mtu aje tu kuomba,kuliko kuja kwa gia ya kukopa na harudishi.
 
Niliwahi kuwa nao mara 2 hivi huyo mmoja alikua mwana sana yule dada asee halafu alikua mtu pekee hapendi sura yangu iwe na chunusi yani alikua akikuta zimejaa ananikalia mapajani then anatumbua zote anaenda kununua dawa ananipaka.

Demu wangu hakua anamkubali kihivyo sababu ya wivu halafu yeye anakinyaa hawezi kutumbua chunusi, tulikaa mda sana siku moja nilibreak up na demu wangu nae alikua kaachana na bwana wake akaja room tukapiga story kama kawaida eeeh nikajikuta namkis deep kiss piga touch toa chupi hataki badae akaachia nikamla kimoja.

Mapenzi hayakumaliza hata miezi 6 tukazinguana now ni marafiki tu hatukwichi kabisa we good wapenzi wetu pia hawajui kama tumewahi date hahaha maana hata charting zenu ni bro na sis ndo majina yanayotembea.

Huyu wa pili ndo alikua mpaka analala room sometimes akichelewa na sikuwahi kumla kabisa ingawa now sijui yuko wapi.
 
Duuh na story zote hizo hujawah kumtamani?

Na jamaa hajawahi kuomba tunda

Kuwa na rafiki wa kike so close hivyo ni sawa na kutembelea muwa kama mkongojo lazima utaula tu ...
Sikuwahi mtamani, sababu ule ushkaji na ukaribu tuliokuwa nayo nlikuwa namwona Kama Mwanamke mwenzangu sometimes. Nikiskia mrejesho wa mdinyo ilikuwa Ni siku ya kicheko.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mkuu yule Kaka Kama vile alishushwa Toka mbinguni hakuwahi omba tunda, kwanza angeomba nadhani ningepoteza ule Uhuru wa kushare nae Mambo yangu.

Story za mdinyo ilikuwa ananiulizaga vitu gani wanawake wanapenda kufanyiwa in bed ili akampagawishe navyo Dem wake. Halafu akifanya anakuja kunipa mrejesho, urafiki wetu ulifikia kuwa na Uhuru wa dizain hiyo [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23]Naomba na mimi unitupie hints chache PM nimfurahishe wifi yako..please.
 
Back
Top Bottom