Ulishawahi kuwa na rafiki wa jinsia tofauti mliyeshibana sana?

Daaa huu uzi umenigusa mmnoooo,
Nilikuwa na rafiki pia, alikuwa ni zaidi ya ndugu yangu,
Alikuwa na mwanamke ambaye sahizi ni mke wake, nilimpenda yule dada kwaajili ni demu wa rafiki yangu, alipooa nadhani ilikuwa ni ndoa yangu ya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti ameoa jini.
 
Haiwezekani aise mm niliishia kumnyandua mtoto wa watu tena bila hata yeye mwenyewe kutegemea
 
Daaa huu uzi umenigusa mmnoooo,
Nilikuwa na rafiki pia, alikuwa ni zaidi ya ndugu yangu,
Alikuwa na mwanamke ambaye sahizi ni mke wake, nilimpenda yule dada kwaajili ni demu wa rafiki yangu, alipooa nadhani ilikuwa ni ndoa yangu ya
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mtu akishaoa kuendeleza urafiki kazi sanaa...
 
Kumbe humu tunahanja na wanafunzi wetu kumbe
 
I'd rather be called manipulative than being okay with a female friend who is much closer to my hubby than me.
Mkuu mbona wakati wa uchumba mtu anakuwa okay kuwa close na boyfriend wake Tena nyinyi wote watatu mnakuwa marafiki, Wakikosana wewe ndo kimbilio unasuluhisha kesi. Ila akiingia kwenye ndoa wewe unakuwa mbaya [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi huwa tunaanza vizuri kabisa Mwaka hata miaka 2 Lakini mwisho wa siku huwa tunaishia Kutiana.. na baada ya hapo urafiki hulega lega na kuwa Wapenzi na mwisho huishia kufa vyote..
 
I'd rather be called manipulative than being okay with a female friend who is much closer to my hubby than me.
How daft.

Learn to keep healthy boundaries and respect friendship just like the female friends respect your marriage.

Not every female is a hoe and is after your man. They themselves have their own men.

ar wi tugeza?
 
Alikuwa anaitwa Don ni mwanaume nilimpenda anamadili anapenda watu.
Anapenda kunijali nakunipenda ogopa alini treat like his sister nilimpenda sana mpaka kakwea pipa bhana hajarudi.

Namkumbuka kwa ukimya wake,upendo wadhati , kunichambua kama mchele.
Alionyesha ni a true gentlemen.
Just imagine unalala na Don the same bed halafu nothing happen.

Nitakukumbuka sana Don Maana hadi na sasa sijapata kama Don.
 
How daft.

Learn to keep healthy boundaries and respect friendship just like the female friends respect your marriage.

Not every female is a hoe and is after your man. They themselves have their own men.

ar wi tugeza?
Kuna English Tanganyika International School na hii yetu ya Hawa the bus driver ya kwako ni hiyo ya kwanza hapo.

All in all you nailed it....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…