AnyWayZ
JF-Expert Member
- May 30, 2022
- 4,880
- 8,424
Hivi mbona wewe Mwongo mwongo sana🤔, Kuzuia Mimba mtu hajabarehe? Na ukumbuke ni illegal.Kuna sehemu niliona mtoto wa darasa la nne eti anachomwa sindano ya kuzuia mimba.
Imagine, hivi akifika umri wa kuolewa wa miaka 24 atakuwa na mayai ya kubeba mimba kweli 🙌