Hivi mbona wewe Mwongo mwongo sanaπ€, Kuzuia Mimba mtu hajabarehe? Na ukumbuke ni illegal.Kuna sehemu niliona mtoto wa darasa la nne eti anachomwa sindano ya kuzuia mimba.
Imagine, hivi akifika umri wa kuolewa wa miaka 24 atakuwa na mayai ya kubeba mimba kweli π
Kwanini unaniita Mwongo?Hivi mbona wewe Mwongo mwongo sanaπ€, Kuzuia Mimba mtu hajabarehe? Na ukumbuke ni illegal.
Utakuwa mgumu kuelewa Mkuu, nimeeleza kuwa mambo ya kujua mtoto anazaliwa nimekuja kujua nikiwa darasa la sita ambapo nilikuwa na zaidi ya miaka 12.Tumese tu Ulikua kilaza kama Sio Uongo huu. Std Six ulikua na 4 years ama?
Duhπ, Sawa Mama.Kwanini unaniita Mwongo?
Hizo ni precautions zilichokuliwa walau kuwasaidia Watoto wa Kike wahitimu Elimu ya Msingi, maana tatizo la mimba za utotoni lilikuwa kubwa sana huko.
Zaid ya 12 years hujui mtoto anatoka wapi, Hapo ulikua na Manyonyo ulikua hujiulizi yana Kazi gani?Utakuwa mgumu kuelewa Mkuu, nimeeleza kuwa mambo ya kujua mtoto anazaliwa nimekuja kujua nikiwa darasa la sita ambapo nilikuwa na zaidi ya miaka 12.
Kabla ya hapo ilikuwa vigumu kujua maana tulikuwa tunaishi na maneno ya Wazee kuwa Mtoto ananunuliwa Dukani.
Sio kama watoto wa miaka hii ambapo wao wenyewe wanaanza ngono wakiwa na umri mdogo kabisa.
Mimi ni Mwanaume MkuuZaid ya 12 years hujui mtoto anatoka wapi, Hapo ulikua na Manyonyo ulikua hujiulizi yana Kazi gani?
π Basi itoshe kukubaliaba nawe Mkuu, Umekulia nyuma ya Dunia ndo Maana.Mimi ni Mwanaume Mkuu
Lakini sio watoto wote wamelelewa nje ya maadili.
Mfano binafsi nimekuja kumjua Mwanamke nikiwa na miaka 20, wakati wale walikosa malezi wameanza wakiwa below 15 yrs
Nimelelewa kwenye maadili Mkuuπ Basi itoshe kukubaliaba nawe Mkuu, Umekulia nyuma ya Dunia ndo Maana.
Au sio banaπ Kwamba Mahusiano ni jambo la hovyo?Nimelelewa kwenye maadili Mkuu
Sio jambo la kujivunia kuona Binti asiye kwenye ndoa ama Kijana wa kiume asiye kwenye ndoa kuanza kushiriki ngono.
Najivunia kutokuwa Kijana wa Hovyo
duh hii kali ya mwaka..Mimi nilivyokua mdogo nilijua baba kazaliwa na mama etiπ π
Kwamba Baba ake alikua kiben10 au mama ndo alikua Mshangaziπduh hii kali ya mwaka..
Hutakiwi kuingia kwenye Mahusiano kama Hujaoa ama Kuolewa π€Au sio banaπ Kwamba Mahusiano ni jambo la hovyo?
Kuna sehemu niliona mtoto wa darasa la nne eti anachomwa sindano ya kuzuia mimba.
Imagine, hivi akifika umri wa kuolewa wa miaka 24 atakuwa na mayai ya kubeba mimba kweli π
Unaweza kuwa upo sahihi,Utakuwa mgumu kuelewa Mkuu, nimeeleza kuwa mambo ya kujua mtoto anazaliwa nimekuja kujua nikiwa darasa la sita ambapo nilikuwa na zaidi ya miaka 12.
Kabla ya hapo ilikuwa vigumu kujua maana tulikuwa tunaishi na maneno ya Wazee kuwa Mtoto ananunuliwa Dukani.
Sio kama watoto wa miaka hii ambapo wao wenyewe wanaanza ngono wakiwa na umri mdogo kabisa.
Hali ni mbaya huko mtaani.Hii kamba unataka kutufunga hutupati ππππ huyo mtoto ana miaka mingapi?
Btw, Sindano hatushauri zaidi ya mara tatu consecutive so no way ukampa mtu unayetaka asizae soon kama mtoto wa la nne, ungesema kitanzi labda,
Hope next time utaboresha kamba yako
Hayo mambo ya kutodadisi ndiyo yalifanya Vijana wa zamani kujitunza.Unaweza kuwa upo sahihi,
Ila inaonekana ulikuwa una shida ya udadis na kutojisomea,
Umri wa miaka 12 ilibid uwe ushayajua hayo na mengine mengi
Hali ni mbaya sana mkuu, Mungu atusaidie kwa kweliKuna haja ya kujisahihisha, maana athari zake ndiyo zimeanza kuonekana.
Baada ya miaka 20 ijayo hali itakuwa mbaya zaidi
Mm niliambiwa mama ameenda kununua mtoto Muhimbili,Mimi mdogo wangu wa mwisho anazaliwa nilikuwa sijui chochote hivo nilishtukia tu mama yupo na mtoto hata kipindi akiwa mjamzito sikutambua chochote