Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Hahahhumu huwa sipendi kubishana
kwa uzowefu raha ya kubishana ni uso kwa uso nikucheke nikuzomee
mpaka walikua wakiniona naanza kubisha
watu watasema tupo upande wako
au kama mtu hanijui akaanza kubishana na mimi watamuuliza we vipi mbona unabishana na Google