Ulisifika Kwa Lipi Shuleni....

Ulisifika Kwa Lipi Shuleni....

Kwangu mi nilkua mropokaji sugu yaan mi na mwenzang
majina ya wapiga kelele tunabadilishan position mi na mwenzang yy ndo anakua wa kwanz kuandkwa au mm

nilkua na sifa sana shule nzma walinijua sometym ulkua unanikuta nipo darasa la 4m 1 nmekaa nawapigisha stor wakat mi ni 4m3

notice nilkua siandk napelek daftar 4m 1 naandikiwa huko notice zote

wakat nareport 4m 1 nilianza kuban kuzi kwenda chaka mwaka mzima hdi hom walipogundua ndo nkaanz kwnda shule
natoka hom fresh huyo napotelea mitini au naenda mgodini na wanangu kutafta dhahabu

sifa mbaya;tushawah kupiga mtungo dem ndan ya kanisa lilokua mbali kidogo na shule

tushaiba deli la mihogo mama muuza mihogo kaingia ndan kufata chenchi si tukapotea nalo
Yapo meng sana nilofanya shule but niishie hapo
 
Kuna siku nilichelewa nilipofika shuleni nikanyata madirishan mwa darasa letu nikaweka madaftar yangu kupitia dirisha kwa nje.nikatoa nikaenda kunawa kunako tank la maji kuzuga km nimetoka kutupa takataka ili hata teacher akinikuta haezi mind atajua nimetoka jalalani kutupa taka hata hivo sikua na bag ya daftari.with all confidence nikawa naelekea kwa class room mala nikaitwa kugeuka alikua ni headmaster. Sikusita kwa sababu nikajua hajashtukia ishu hivo nikamfata bila uoga.teacher akaniuliza "kwanini umechelewa kufika shuleni"? Mi nikamjibu mbna nimefika mda sana hata madaftar yangu yako darasani! Teacher akaniuliza tena kwanin umecheleea kufika shule?? Hapo nikataka kumthibitishia nikamjibu mwalimu Mimi nimefika mda kama huamini twende darasani tukaulize huku nikijua kua hata tukiuliza darasani wanafunz hawawezi kuisaliti.teacher akauliza kwa round ingine " nambie kwanini umechelewa shule"?? Safari hii nikawa na wasi wasi mbn teacher kanikazia? ikabidi nikae tu kimyaa,akaniangalia afu akaondoka nami nikaanza kuelekea darsan.ile naingia tu darasa lilikua tupu yani hamna wanafunzi kumbe walikua laboratory kwenye practical ya chemistry na headmaster alikua muandaaji wa hiyo prac aiseee nilidata nikajiuliza inamaana angekubali kua tuje darasan kuuliza wanafunzi cjui ingekuaje?? nikachukua daftar faster nikaenda laboratory kufika nikagomnga mlango akanifungulia afu hakusema kitu chochote
 
Kwangu mi nilkua mropokaji sugu yaan mi na mwenzang
majina ya wapiga kelele tunabadilishan position mi na mwenzang yy ndo anakua wa kwanz kuandkwa au mm

nilkua na sifa sana shule nzma walinijua sometym ulkua unanikuta nipo darasa la 4m 1 nmekaa nawapigisha stor wakat mi ni 4m3

notice nilkua siandk napelek daftar 4m 1 naandikiwa huko notice zote

wakat nareport 4m 1 nilianza kuban kuzi kwenda chaka mwaka mzima hdi hom walipogundua ndo nkaanz kwnda shule
natoka hom fresh huyo napotelea mitini au naenda mgodini na wanangu kutafta dhahabu

sifa mbaya;tushawah kupiga mtungo dem ndan ya kanisa lilokua mbali kidogo na shule

tushaiba deli la mihogo mama muuza mihogo kaingia ndan kufata chenchi si tukapotea nalo
Yapo meng sana nilofanya shule but niishie hapo
Hahaaaaaa ishu ya wizi umenikumbushaaa mbali aiseeee
 
MGUMU - aisee mimi na kuoga wa No No kabisa..kitabu na mimi, mimi na kitabu.

them good old days...
 
1. Utoro, nimeanza utoro toka darasa la kwanza, nakumbuka hadi mtihani wa kwenda darala la pili nilikuja kushtuliwa na mshikaji huku washafanya hisabati, darasa la pili hivyo hivyo, la tatu nilisoma mwezi mmoja kisha nikatokomea kusikojulikana eti nikaibuka kufanya mtihani wa darasa la nne, mwalimu akanigomea ikabidi wanirudishe tena la tatu.

Ilipofika darasa la 6 nikarudia tabia yangu nikaja kuibuka la 7, shuleni walikua wananijua kwa sufa moja tu, utoro sugu ila siku nikiibuka kwenye mtihani namba moja hadi 3 hainikosi.

2. Utorokaji, jamani nilikua natoroka shule balaa, hadi nilipohamishiwa kwa mwalimu bado nikawa natoroka tu kwenda hom, mwalim hakunichapa aliniweka chini akanishauri nikaacha kutoroka ila nilipoenda secondari nikarudia tabia ya kutoroka na kuchelewa..

Sekondari nikasoma shule ya bweni ya serikali iko katikati ya mji, ikawa kila wiki lazima nitoroke kuanzia ijumaa narudi jumatatu alfajiri maana hapo mjini alikuwepo baba mdogo na akawa hanimind maana matokeo yangu hayakua na shida.

3. Kuna tabia nyingine nilikua nazo ingawa hazikua zinajulikana ni wizi wa madaftari na kalam, kila mhula ukianza tulikua tunapewa/kuja na madaftari mapya huko shule ya msingi, sijawahi kukunua daftari, nilikua na hom library yangu ya madaftari ya wizi mapya najaladia tu jalada zuri huwezi kujua ni yako.

Sekondari pia hivyo hivyo, wale waliokua na miandiko mizuri na mpangilio mzuri wa maandishi ilikua ikikaribia tu mtihani lazima niibe madaftari yao nikajisomee, mitihani ikiisha naweza kulirudisha hapo darasani nikalitelekeza au nikaamua kulificha kabisa.

Sure nimeyamisi sana maisha ya shule.
Du! hizi sifazingine zakijinga
 
Mimi nlikuwa nasifika kwa misuli tembo tuuuu.....matokeo sisimizi.....

Nimeikumbuka sifa yako ya kile kisado cha uji......hv mlikuwa mnaupiga wangapi
[emoji3][emoji16]
Sema uji wa kwetu ulikuwa mtamu bwana uji wa boarding unawekwa maziwa
 
[emoji3][emoji16]
Sema uji wa kwetu ulikuwa mtamu bwana uji wa boarding unawekwa maziwa
Hahaha Sasa bro ukikata bakuli....si ndio badae mnakuja kusinzia tuuuu.

Uji plus ile miandazi ya monopoly Amina
 
Hahaha Sasa bro ukikata bakuli....si ndio badae mnakuja kusinzia tuuuu.

Uji plus ile miandazi ya monopoly Amina
Haha.. umenikumbusha mbali saana aseeh.

Mimi sikuwa muumini wa maandazi ya amina. Chimbo langu palikuwa kwa mama idd.

Kuna sehemu niliona uzi wa pumbu erosion hivi unakumbuka hiki kipindi? ?
 
Haha.. umenikumbusha mbali saana aseeh.

Mimi sikuwa muumini wa maandazi ya amina. Chimbo langu palikuwa kwa mama idd.

Kuna sehemu niliona uzi wa pumbu erosion hivi unakumbuka hiki kipindi? ?
Dah hiyo ngoma sitaki kukumbuka.

Nakumbuka ilisababisha tuanze kuvaa boxa upepo.... Zile boxa zisizo bana.

Unakuta mtu robo saa nzima anapiga gitaaa.

Umenikumbusha chiganian Arra(r.i.p) and Dunia.
 
Dah hiyo ngoma sitaki kukumbuka.

Nakumbuka ilisababisha tuanze kuvaa boxa upepo.... Zile boxa zisizo bana.

Unakuta mtu robo saa nzima anapiga gitaaa.

Umenikumbusha chiganian Arra(r.i.p) and Dunia.
Daah... arra yule jamaa aseeh alipotea mapema.

Hiyo ishu ilikuwa noma
 
Back
Top Bottom