Ulitamani kuwa nani?

Ha ha haaah....Umbeya sasa huo Vale...lkn najua huwa mnasema mwanamke kusutwa suna. Ha ha ha..Haya bibie tutakutana chemba basi. Ila chemba kuna joto kali lakini
Joto ndio zuri kwa wakati huu mana nakaribia kuganda huku
 
I know wat u feel mkuu coz mwenzako kidonda changu bado kibichi sana..goodluck
 
Mi nlitamani kuwa mwanajeshi enzi hizo ikashindikana kupewa nafasi,
Sasa nna ndoto ya kuwa jambazi la kutupwa ili nijikwamue na huu ugumu wa maisha ila cjajua wapi ntapata siraha!
usikute hata baba yako humjui maana hilo jina lako mhhh...
 
is my work nowNiliachana na mke wangu kwa njia ya taraka sasa nna miaka miwili nko singe na sjapanga hata kuoa mwingine lakin ghafla nikapokea sm ya msiba kutoka nyumbani kwetu kwa
Mie natamani nikiwa mkubwa nifanye kazi ya kuhudumia kwenye hoteli kubwa kubwa (food and beverage)
 
Aisee pole Sana
Saivi ilitakiwa uwe bonge la business man
 
Aisee pole Sana
Saivi ilitakiwa uwe bonge la business man
 
Nilitamani kuwa mwalimu ili niwakwamue wanafunzi wa kike kwenye somo la hisabati kwenye sekondary za vijijini maana nilikuwa nalipenda sana. Lakini naona wazazi hawakupenda sana ivo wakanilazimisha kusomea finance bt what I can say sijawahi kujuta kuwepo upande huu.
Namshukuru Mungu
Na hata baada ya kumaliza chuo nilitamani kufundisha hayo mambo niliyosomea kwa level ya chuo
 
EGM Baby
 
Mimi awali nilitamani kuwa mwalimu, napenda SANA kuelekeza na nina kipaji cha kumuelewesha mtu kitu akaelewa vizuri.
Kilichonikimbiza ni maslahi na stara ya ajira ya ualimu, hata ualimu wa vyuo (ukufunzi/u-lecturer) bila ku-hustle kivingine lazima ufe masikini tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…