Ulitamani kuwa nani?

Ulitamani kuwa nani?

"Nilitamani niwe hakimu ni wahukumu watu wabaya hasa waliohusika kwenye kifo cha baba yangu lakini nimeishia kuwa daktari nayaokoa maisha ya watu hata wawe ni majambazi" (mwisho wa kunukuu)

Je wewe ulitamani kua nani? Ndoto yako imetimia au haikutimia?
Ni changamoto zipi ulikutana nazo?

Nawasilisha
nilitamani kuwa dr wa mapenzi hata hivyo tayari ni dr nusu sijakamilika kabisa
 
Back
Top Bottom