Ulitamani kuwa nani?

nilitamani kuwa Sister, ila sasa najiandaa kusoma PhD na ikiwezekana niwe proffesor kabisa nije kushika nafasi ya Bankin Moon.
 
Nilitamani kuwa Padre bad enough nilipokuwa seminarini wito ulianza kupungua kadiri siku zilivyokuwa zinaeenda hatimaye wakanifukuza kabisa.
 
Kitu nilichogundua watu wengi hupoteza malengo yao kama hawana watu wazuri wakuwashauri. Kwa sasa wadogo zangu nawalea kwenye njia sahihi katika kuchagua na kufanikisha wanavyovipenda.

Kama umepata madogo wanakuckia shukuru Mungu basi mana wengine ni hatar wasema hivi lapita kule
 
Ni kweli Corasco.. Hiyo nayo ni issue kama madogo hawakusikilizi. Utashindwa kuwalea katika misingi unayoitaka ambayo ni bora zaidi.
 

What you are saying is true.
Mi nilikuwa nautaka sana ualimu pamoja na kujua kuwa maslahi yake kidogo.
Na hata nilipomaliza form six nilichonga ubao na kuanza kufundisha tuition.
Lkn nashukuru mipango ya Mungu mingi and I declare that now I am getting more than what I could be getting.
 
Nilitamani kusoma kozi za afya lakini namshukuru Mungu kumaliza BSc. SUA(2015) ila mpango wangu badae ni kusoma MScPH Na ndoto zangu zitakamilika hapa duniani.
 
Nilitamani kuwa mchoraji,pressure za wazee zilikatisha ndoto zangu.Sasa nipo stand nafanya miamala ya tigo,airtel,voda na kuuza ujugu.
 
Ndoto yangu Bado nai chase huu Uzi usifutwe ili siku tuje tuelezane tulipo fikia hii ni kwa wale current dream chasers wote....
 
Nafurahia Kuwa hivi nilivyo, wengi wamekua wakitamani wawe kama mimi.
 
nilitamani sana kuwa tv & radio presenter hasa kusoma taarifa za habari ila nimeisha kwenye urasilimali watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…