"Nilitamani niwe hakimu ni wahukumu watu wabaya hasa waliohusika kwenye kifo cha baba yangu lakini nimeishia kuwa daktari nayaokoa maisha ya watu hata wawe ni majambazi" (mwisho wa kunukuu)
Je wewe ulitamani kua nani? Ndoto yako imetimia au haikutimia?
Ni changamoto zipi ulikutana nazo?
Nawasilisha