Ulitumia dawa gani kutibu vidonda vya tumbo?

Ulitumia dawa gani kutibu vidonda vya tumbo?

Justdr

Member
Joined
Jun 1, 2021
Posts
52
Reaction score
104
Vidonda vya tumbo ni moja ya magonjwa yanotusumbua sana miongoni mwetu na hii siyo Tanzania tu ni dunia nzima. Naleta huu uzi kwa maana wanasema sharing problem is half way of solving it.

Hivyo bas wenye mlishawahi kuwa na changamoto kama hii na mkapata matibabu, naomba mshare namna mlivyoondokana na hili tatizo/ulitumia dawa gani?

Karibu na utakuwa umesaidia wengi
Natanguliza shukrani!
 
Wengi wameishia kupoteza pesa zao bure tu.

Kuna Dawa wanatengeneza Wahaya Bukoba unachanganya na maziwa unatumia siku 14 Mara mbili usipopona basi wewe siyo binadamu hata kidogo, Pima hospitali hata Mara ngapi huwezi kukutwa na vidonda vya tumbo.

Binafsi sifanyi udalali wala simuunganishi yeyote kama unafahamiana na wahaya Bukoba pepeleza mwenyewe utafanikiwa kupata, wahaya wengi wapo vizuri kwenye Dawa asili hata ukimwi kwao ni kama marelia tu.
 
kuna dawa inatengenezwa muhimbili idara ya tiba za asili inaitwa "tumo mixture" unatumia vichupa sita. vimenitatulia shida iliyonisumbua kwa muda mrefu sana
Inaponya au inatuliza? Ni combination ya majani gani?
 
Inaponya au inatuliza? Ni combination ya majani gani?
inaponya. nimepona kabisa. nilikuwa sili mboga yenye nyanya na hada soda lakini sasa ninakula.

suala la majani gani sijui ni dawa ya watu wana patent rights zao. Nilielekezwa famasi moja ipo pale urafiki uposite stendi/banda la mwendo kasi inaitwa ozone medics. ndipo nilinunulia hapo. kichupa wanauza kwa 10,000 ndiyo bei elekezi ya muhimbuli. Nakiete wanaweza wakawa nayo lakini sina uhakika.

Au uende muhimbili, lakini niliambiwa hata huko bei ni hiyo hiyo
 
inaponya. nimepona kabisa. nilikuwa sili mboga yenye nyanya na hada soda lakini sasa ninakula.

suala la majani gani sijui ni dawa ya watu wana patent rights zao. Nilielekezwa famasi moja ipo pale urafiki uposite stendi/banda la mwendo kasi inaitwa ozone medics. ndipo nilinunulia hapo. kichupa wanauza kwa 10,000 ndiyo bei elekezi ya muhimbuli. Nakiete wanaweza wakawa nayo lakini sina uhakika.

Au uende muhimbili, lakini niliambiwa hata huko bei ni hiyo hiyo
Ngoja tuulize
 
inaponya. nimepona kabisa. nilikuwa sili mboga yenye nyanya na hada soda lakini sasa ninakula.

suala la majani gani sijui ni dawa ya watu wana patent rights zao. Nilielekezwa famasi moja ipo pale urafiki uposite stendi/banda la mwendo kasi inaitwa ozone medics. ndipo nilinunulia hapo. kichupa wanauza kwa 10,000 ndiyo bei elekezi ya muhimbuli. Nakiete wanaweza wakawa nayo lakini sina uhakika.

Au uende muhimbili, lakini niliambiwa hata huko bei ni hiyo hiyo
Ngoja tuulize
 
inaponya. nimepona kabisa. nilikuwa sili mboga yenye nyanya na hada soda lakini sasa ninakula.

suala la majani gani sijui ni dawa ya watu wana patent rights zao. Nilielekezwa famasi moja ipo pale urafiki uposite stendi/banda la mwendo kasi inaitwa ozone medics. ndipo nilinunulia hapo. kichupa wanauza kwa 10,000 ndiyo bei elekezi ya muhimbuli. Nakiete wanaweza wakawa nayo lakini sina uhakika.

Au uende muhimbili, lakini niliambiwa hata huko bei ni hiyo hiyo
20221102_131130.jpg
nahisi ndo hii hapa
 
Hii dawa ni nzuri mno kwa vidonda vya tumbo,,mcheki huyo jamaa anapatikana Moro town
Screenshot_20221104-075628.jpg
 
Mkojo...fanya hivi ..kojoa mkojo wa subuhi..uwache mpaka Kesho yake .Kisha Anza kuunywa ..weka kwenye kijiko, kila siku asubuhi kabla hujala kitu kaa kama dakika 30 mpaka 45 Kisha piga mswaki...ndani ya muda mfupi Hilo tatizo litaisha...
 
binafsi kuna dawa nilitumia nikiwa Ruvuma(Mbinga).Dawa hii alinipa baba mmoja msabato,iliniponya kabisa vidonda.Kwa bahati mbaya nimepoteza mawasiliano yake na nilishaondoka Ruvuma tangu 2019
 
Back
Top Bottom