TAI DUME
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 9,748
- 26,238
Mbona sijawahi kukuona huku mbinga [emoji2957]binafsi kuna dawa nilitumia nikiwa Ruvuma(Mbinga).Dawa hii alinipa baba mmoja msabato,iliniponya kabisa vidonda.Kwa bahati mbaya nimepoteza mawasiliano yake na nilishaondoka Ruvuma tangu 2019