Mbona sijawahi kukuona huku mbinga [emoji2957]binafsi kuna dawa nilitumia nikiwa Ruvuma(Mbinga).Dawa hii alinipa baba mmoja msabato,iliniponya kabisa vidonda.Kwa bahati mbaya nimepoteza mawasiliano yake na nilishaondoka Ruvuma tangu 2019
Nilikaa kipindi kifupi tu,miezi 4Mbona sijawahi kukuona huku mbinga [emoji2957]
Nimesahau jina lake mkuu.Anaitwa nani? Niko mbinga hapa
tumia mchachai na tangawizi na asali ...unatengeneneza chaiSasa nitumie nini? Maana hizi dawa za hospital nimetumia sana na ni kama zinatuliza kwa muda tu.
Dose inakuwaje? Ama unakunywa kama chai ya asubuhi tuu!
Kwa mwanza jamni tunapatajeView attachment 2405654nahisi ndo hii hapa
hii kwa wahaya tunaita akachumita mbogo unachanganya na maziwa... au enzitioma unachanganya na maziwa au mashika nguo unachanganya na enzitoima na kachumita mbogo unachemsha......... maelezo zaidi nipmWengi wameishia kupoteza pesa zao bure tu.
Kuna Dawa wanatengeneza Wahaya Bukoba unachanganya na maziwa unatumia siku 14 Mara mbili usipopona basi wewe siyo binadamu hata kidogo, Pima hospitali hata Mara ngapi huwezi kukutwa na vidonda vya tumbo.
Binafsi sifanyi udalali wala simuunganishi yeyote kama unafahamiana na wahaya Bukoba pepeleza mwenyewe utafanikiwa kupata, wahaya wengi wapo vizuri kwenye Dawa asili hata ukimwi kwao ni kama marelia tu.
Unakunywa vijiko vingapiMkojo...fanya hivi ..kojoa mkojo wa subuhi..uwache mpaka Kesho yake .Kisha Anza kuunywa ..weka kwenye kijiko, kila siku asubuhi kabla hujala kitu kaa kama dakika 30 mpaka 45 Kisha piga mswaki...ndani ya muda mfupi Hilo tatizo litaisha...