Ulitumia kiasi gani cha fedha ama umepanga kutumia kiasi gani cha fedha kugharamia harusi yako?

Ulitumia kiasi gani cha fedha ama umepanga kutumia kiasi gani cha fedha kugharamia harusi yako?

Milioni 5 tu. Mwaka 2015 shunguli ilifanyika kijijini.
Hongera sana Mkuu, harusi ya milioni 5 Kwa Kijijini inakuwa ni kubwa sana

Hapo ukifanya juhudi, mwakani hata Fomu ya Ubunge wanaenda kukuchukulia 🤗👊
 
Hongera sana Mkuu, harusi ya milioni 5 Kwa Kijijini inakuwa ni kubwa sana

Hapo ukifanya juhudi, mwakani hata Fomu ya Ubunge wanaenda kukuchukulia 🤗👊
Yes ilikua kubwa. Tulikodi tents, nunua dume mmoja mkubwa, michele na vitu vya sokoni. Masufuria ya kuomba, wanawake wakapika for free. Nilipotaka kuwapa laki mbili ya asante waligoma. Gari ni ya kuazima unajaza mafuta. Pesa nyingi zikaenda kwenye bia. Kwa kua ni nyumbani kila mpita njia anakata kona ajabu wote walikula na chakula kikabaki! Watoto walikua kama Mia ni mwendo wa toa sinia weka nyingine.....

Halafu nikapata laki tano cash kama zawadi, kabati, frige na makorokoro! Mtihani ikawa kuleta hivyo vitu dar! Tulitaka kuwapa wazazi wa pande zote wakagoma. Ikabidi tuvisafirishe. Very memorable experience...nitaambatanisha picha ya ukumbi
 
Yes ilikua kubwa. Tulikodi tents, nunua dume mmoja mkubwa, michele na vitu vya sokoni. Masufuria ya kuomba, wanawake wakapika for free. Nilipotaka kuwapa laki mbili ya asante waligoma. Gari ni ya kuazima unajaza mafuta. Pesa nyingi zikaenda kwenye bia. Kwa kua ni nyumbani kila mpita njia anakata kona ajabu wote walikula na chakula kikabaki! Watoto walikua kama Mia ni mwendo wa toa sinia weka nyingine.....

Halafu nikapata laki tano cash kama zawadi, kabati, frige na makorokoro! Mtihani ikawa kuleta hivyo vitu dar! Tulitaka kuwapa wazazi wa pande zote wakagoma. Ikabidi tuvisafirishe. Very memorable experience...nitaambatanisha picha ya ukumbi
Hongera sana Mkuu

Hizi harusi isingekuwa wengi ku-target ma-don wa town

Harusi zinafana sana ukifanyia Kijijini,Wazee wanaona umewathamini sana kufanyia harusi Kijijini.
 
Back
Top Bottom