LA7
JF-Expert Member
- Aug 26, 2019
- 655
- 2,369
Katika harakati za utafutaji nakumbuka niliamua kutoka Singida kwenda Mbeya na baiskeli, nilikuwa sina hata mia mfukoni.
Nilipofika Itigi baskeli ikapata pancha, jumlisha njaa nikauza simu yangu niliyo inunua 70,000 kwa 10,000, power bank niliyoinunua kwa 20,000 nikauza 7,000, nikapata pesa ya kula na kununua tube nyingine ya tairi, maana hiyo ilikuwa ni siku ya pili ya safari yangu.
Nikapotea ramani nikajikuta nakutana na kibao kimeandikwa karibu Tabora, hapo ndio nilipochanganyikiwa, ikabidi niiuze baiskeli niliyoinunua kwa 80,000 nikaiuza kwa 23,000 ndio nikapata nauli ya kwenda mpaka Kigoma kwa treni ya kupandia Tabora mjini.
Maisha yana mambo mengi, nikikumbuka nasema asante Mungu.
Nilipofika Itigi baskeli ikapata pancha, jumlisha njaa nikauza simu yangu niliyo inunua 70,000 kwa 10,000, power bank niliyoinunua kwa 20,000 nikauza 7,000, nikapata pesa ya kula na kununua tube nyingine ya tairi, maana hiyo ilikuwa ni siku ya pili ya safari yangu.
Nikapotea ramani nikajikuta nakutana na kibao kimeandikwa karibu Tabora, hapo ndio nilipochanganyikiwa, ikabidi niiuze baiskeli niliyoinunua kwa 80,000 nikaiuza kwa 23,000 ndio nikapata nauli ya kwenda mpaka Kigoma kwa treni ya kupandia Tabora mjini.
Maisha yana mambo mengi, nikikumbuka nasema asante Mungu.