Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa hivyo bora wawe wanakaa kimya. Sasa mtu akikwambia hiyo kauli inasaidia nini muda huo upo kwenye majangaMwaka 2012 niliwekaga bond TV yangu Sony niliyonunua 450k kwa money shark mmoja wa town... siku ya kulipa imefika sina hela, jamaa hakuniongezea hata dakika moja akapita na TV kwa deni la 200k tu. Hadi leo inauma.. halafu nikakutana na ndugu yangu baada ya kumsimulia mkasa mzima akasema bora ningemuuzia hiyo TV kwa 200k kwasababu hata yeye alikuwa anaitamani.
Tatizo la ndugu wengi wapumbavu ukitaka muuzia kitu utatue shida yako ataanza tangaza au ataamua kukukopaMwaka 2012 niliwekaga bond TV yangu Sony niliyonunua 450k kwa money shark mmoja wa town... siku ya kulipa imefika sina hela, jamaa hakuniongezea hata dakika moja akapita na TV kwa deni la 200k tu. Hadi leo inauma.. halafu nikakutana na ndugu yangu baada ya kumsimulia mkasa mzima akasema bora ningemuuzia hiyo TV kwa 200k kwasababu hata yeye alikuwa anaitamani.
Mi mwenyewe kwa sasa mtu akitaka kopa alete kitu, box na risitiKuna majamaa town wamejipanga kwa mikopo ya dizaini hiyo.. full dhuluma. Kule Arusha kuna jambazi mwandamizi anaitwa Alex Masawe ndo ilikuwa ishu zake.
Huu ujinga ni TRC wanataka. Kwann shirika wasiwekeze idadi ya mabehewa iwe ya kutosha watu wapate siti na kusafiri kwa usalama.Mkuu kuakaa!! Watu wamelala chini ya kiti yaani uvunguni, sehemu ya kuegemea ya kiti mtu kakaa pia, wengine wamekaa chooni. Unaweza kudhani ni story ya kusadikika lakini hali ilikuwa mbaya sana.
We nae umezidi uzembe. Unauzaje friji ya laki nane kwa laki tatu au ni yale ya mtumbani?!Friji la laki nane nikauza kwa laki tatu tisini, roho iliumaje?
ikishakuwa hivo basi unakuwa utalii huoMambo ya kuanza safari kwa hisia mwisho wake ndio huo sasa ha ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe unaondokaje mikono mitupu na unajua kuna kulala njiani, kula njiani, na kuna dharula kwann hata usiwe na poketi money na uwe na mchoro hata wa safari yako itakuwa na vituo vingapi hadi ufike mahala unakwenda.
Ni mapito tu kwenye maisha bro. Wakati wa majanga ndo utawajua walio upande wako na wasio upande wako.Watu wa hivyo bora wawe wanakaa kimya. Sasa mtu akikwambia hiyo kauli inasaidia nini muda huo upo kwenye majanga