Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah mkuu pole sana yaani hapo parefu mnoo bora hata ungeweka bondi duuhNiliuza Radio yangu aina ya LG ambayo nilinunua 500,000 (laki tano) kwa sh 80000 ( elfu themanini) ili nipate pesa ya kujikimu kwa siku ile aisee niliumia karibia miez miwili nawaza jambo nililolifanya...
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Jamaa alijipanga khaa 🤓Mwaka 2012 niliwekaga bond TV yangu Sony niliyonunua 450k kwa money shark mmoja wa town... siku ya kulipa imefika sina hela, jamaa hakuniongezea hata dakika moja akapita na TV. Hadi leo inauma
Nani aliinunua tumripoti TAKUKURUNiliuza kura yangu 2015 ili nipate buku 10 ya kula
Unatumikia serikali,kanisa au msikiti?Niliuza gesi mtungi mkubwa, fryer yake, kabati la vioo, rice cooker, jagi la umeme, kitanda, sabufa na sofa kwa laki 500,000 ili nipate ada nashukuru now nimtumish japo nikikumbuka naumia sana
Kuna majamaa town wamejipanga kwa mikopo ya dizaini hiyo.. full dhuluma. Kule Arusha kuna jambazi mwandamizi anaitwa Alex Masawe ndo ilikuwa ishu zake.Jamaa alijipanga khaa 🤓
Sasa hapo inabidi na wewe uwe mtata mtata an...Kuna majamaa town wamejipanga kwa mikopo ya dizaini hiyo.. full dhuluma. Kule Arusha kuna jambazi mwandamizi anaitwa Alex Masawe ndo ilikuwa ishu zake.
Kikubwa si ulienda afrika kusini mkuu.. huoni kwenda kule ni bahati pia..FRIJI, TV, DEKODA YA DSTV, RADIO KWA JUMLA YA 600,000 niakaenda
Duuuh kama kweli umepitia mengi yasiyoelewekaKatika harakati za utafutaji nakumbuka niliamua kutoka Singida kwenda Mbeya na baiskeli, nilikuwa sina hata mia mfukoni.
Nilipofika Itigi baskeli ikapata pancha, jumlisha njaa nikauza simu yangu niliyo inunua 70,000 kwa 10,000, power bank niliyoinunua kwa 20,000 nikauza 7,000, nikapata pesa ya kula na kununua tube nyingine ya tairi, maana hiyo ilikuwa ni siku ya pili ya safari yangu.
Nikapotea ramani nikajikuta nakutana na kibao kimeandikwa karibu Tabora, hapo ndio nilipochanganyikiwa, ikabidi niiuze baiskeli niliyoinunua kwa 80,000 nikaiuza kwa 23,000 ndio nikapata nauli ya kwenda mpaka Kigoma kwa treni ya kupandia Tabora mjini.
Maisha yana mambo mengi, nikikumbuka nasema asante Mungu.
Mkuu kuakaa!! Watu wamelala chini ya kiti yaani uvunguni, sehemu ya kuegemea ya kiti mtu kakaa pia, wengine wamekaa chooni. Unaweza kudhani ni story ya kusadikika lakini hali ilikuwa mbaya sana.Kusema hakuna nafasi ya kukaa ata chini..?
South hakuna ishu mazee, watz wengi ni mateja na wapiga michomoko, wengi hawana maisha hata kulala kwao ni kwa matesoKikubwa si ulienda afrika kusini mkuu.. huoni kwenda kule ni bahati pia..
Nazani ulikuja kupata zaidi ya vile
Kwahiyo na jitihada zote hizo bado ww ni mtumwa dah maisha hayako fair kabisaNiliuza gesi mtungi mkubwa, fryer yake, kabati la vioo, rice cooker, jagi la umeme, kitanda, sabufa na sofa kwa laki 500,000 ili nipate ada nashukuru now nimtumish japo nikikumbuka naumia sana