Uliwahi kufumaniwa

Uliwahi kufumaniwa

Mmezaa ??? . tatizo hawa wakishakufuma ili mpaka arudi mwanzo Mara nyingi mpaka nayeye atafunwe.


Sikia Acha kucheka Cheka na kumbembeleza .


Hawa wanawake wanahitaji Maisha mix, Leo Unakaza sauti...Kesho unabembeleza, kesho unakua kama simba, kesho kama kondooo ..ndivo wanataka.


Huo ustaharabu wako ni wa kijinga tuu....


Anyway Kwa kosa kama ilo , Inamaana tuseme bado anafikiria lini atakusemee??

Bwanaeeee, Wewe ongea naye, tena ongea kifalme , asikuleteee mbwembwe wala nn..


Mchame laivuuu, Mimi ni mwanaume, nilikusaliti sababu wewe mwenyewe uliacha kunipa u nyumba sababu ya uchumi wangu kutikisika, Nmekuomba msamaha, Leo hii ni miezi kadhaa sijakutana nawee.... Sasa Mimi nasema hivi, Kama utaendelea ivivi Nita kwenda nje.


alafu unatulia...Baada ya hapo jifanye kua unajipkia mwenyewe , unajifulia mwenyewe , unasafisha nyumba mwenyewe Yaan kimya kimya tena huku unapiga miluzi... Huku unapokea simu (fake ) za watu , unapokea simu , unachat sanaaaaaa, unachekaaa weee, unaongea nasimu unachekaa, unachat JF unacheka ( yote haya hakikisha anayaona na kuyasikia )..


Fanya ivo, alafu HAMA kabisa Chumba, lala sebuleni , NUNUA KARANGA MBICHI HATA KILO MBILI......


Endelea kuchat , endelea kuongea nasimu. safisha nyumba yako, panga vitu upya tofauti na alivyopanga yeye... Nunua shuka moja jipya zurii, ,uliweke kabatini chumban , ( Atakimbilia kulitandika, Gomba sanaaa, kwann umelitandika?? Unajua lann ?? Unajua nikwajili ya nani??)...


Litoee , kuja vzuri uliweke pale pale... Endelea kuongea nasimu mpaka chooni. Endelea kua bize, endelea kujipikia,.Endelea kula karanga



Fanya kwa wiki moja tu ....
ASIPOANZA KUKUTEGA UMLE MZIGO...


njooo unipe mrejesho , Nikupe mbinu yapili...


Hawa wanawake, Ni kucheza na Akili yao tu.


Ila nawewe Tafuta pesa alaaah.
[emoji23][emoji23][emoji23]. Ila we jamaa,

Ila tafuta hela asee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asubiri mpaka atakaposamehewa[emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Aahhh mama, sisi wengine sio wanywaji kusema kwamba nipoteze mawazo, sio walevi,sio nn....


Jamaan hapo kati ndio sehemu pekee inayotupa Kiburudisho kimwili nankiroho.



Ivi kweli Nina kaaa nawewe, uninyime iyo kitu daaahhh.



Mwanamke aamue moja..kama anasamehe...asamehee.kama hasemehi aseme hasemehi.


Uyo anaweza mpeleka jamaa hata miezi zaidi ya sita.


Bora ijulikane jamaa ni single Man
 
Mwezi na nusu,pole sana,kama nakuona vile ukilala unavyojikunja ili kuepusha shari,na kinachokuvunja nguvu zaidi ni huko kufumaniwa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aahhh mama, sisi wengine sio wanywaji kusema kwamba nipoteze mawazo, sio walevi,sio nn....


Jamaan hapo kati ndio sehemu pekee inayotupa Kiburudisho kimwili nankiroho.



Ivi kweli Nina kaaa nawewe, uninyime iyo kitu daaahhh.



Mwanamke aamue moja..kama anasamehe...asamehee.kama hasemehi aseme hasemehi.


Uyo anaweza mpeleka jamaa hata miezi zaidi ya sita.


Bora ijulikane jamaa ni single Man
Angekuwa hana mpango wa kusamehe angeshaondoka. Hapo tayari ameshasamehe sema jamaa yako anashindwa tu kukaza na kusimama kama mwanaume.... Amwambie tu kama umeamua kuishi na mimi basi timiza wajibu wako kama mke, na kama hunipendi tena mlango huo hapo. Au bi dada kama anahitaji muda zaidi wa kufikiria aende akakae kwao kwa muda apumzishe kichwa, atapata jibu kama anaweza kuendelea na hayo mahusiano au lah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angekuwa hana mpango wa kusamehe angeshaondoka. Hapo tayari ameshasamehe sema jamaa yako anashindwa tu kukaza na kusimama kama mwanaume.... Amwambie tu kama umeamua kuishi na mimi basi timiza wajibu wako kama mke, na kama hunipendi tena mlango huo hapo. Au bi dada kama anahitaji muda zaidi wa kufikiria aende akakae kwao kwa muda apumzishe kichwa, atapata jibu kama anaweza kuendelea na hayo mahusiano au lah

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ndio neno sasa !!!... Mtoa mada
 
Acheni uzinzi oaneni.
Tafuta kazi hudumia hayo yote hayatakuepo
 
Mmezaa ??? . tatizo hawa wakishakufuma ili mpaka arudi mwanzo Mara nyingi mpaka nayeye atafunwe.


Sikia Acha kucheka Cheka na kumbembeleza .


Hawa wanawake wanahitaji Maisha mix, Leo Unakaza sauti...Kesho unabembeleza, kesho unakua kama simba, kesho kama kondooo ..ndivo wanataka.


Huo ustaharabu wako ni wa kijinga tuu....


Anyway Kwa kosa kama ilo , Inamaana tuseme bado anafikiria lini atakusemee??

Bwanaeeee, Wewe ongea naye, tena ongea kifalme , asikuleteee mbwembwe wala nn..


Mchame laivuuu, Mimi ni mwanaume, nilikusaliti sababu wewe mwenyewe uliacha kunipa u nyumba sababu ya uchumi wangu kutikisika, Nmekuomba msamaha, Leo hii ni miezi kadhaa sijakutana nawee.... Sasa Mimi nasema hivi, Kama utaendelea ivivi Nita kwenda nje.


alafu unatulia...Baada ya hapo jifanye kua unajipkia mwenyewe , unajifulia mwenyewe , unasafisha nyumba mwenyewe Yaan kimya kimya tena huku unapiga miluzi... Huku unapokea simu (fake ) za watu , unapokea simu , unachat sanaaaaaa, unachekaaa weee, unaongea nasimu unachekaa, unachat JF unacheka ( yote haya hakikisha anayaona na kuyasikia )..


Fanya ivo, alafu HAMA kabisa Chumba, lala sebuleni , NUNUA KARANGA MBICHI HATA KILO MBILI......


Endelea kuchat , endelea kuongea nasimu. safisha nyumba yako, panga vitu upya tofauti na alivyopanga yeye... Nunua shuka moja jipya zurii, ,uliweke kabatini chumban , ( Atakimbilia kulitandika, Gomba sanaaa, kwann umelitandika?? Unajua lann ?? Unajua nikwajili ya nani??)...


Litoee , kuja vzuri uliweke pale pale... Endelea kuongea nasimu mpaka chooni. Endelea kua bize, endelea kujipikia,.Endelea kula karanga



Fanya kwa wiki moja tu ....
ASIPOANZA KUKUTEGA UMLE MZIGO...


njooo unipe mrejesho , Nikupe mbinu yapili...


Hawa wanawake, Ni kucheza na Akili yao tu.


Ila nawewe Tafuta pesa alaaah.
Aisee!!! Una uzowefu sana na hawa viumbe.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmezaa ??? . tatizo hawa wakishakufuma ili mpaka arudi mwanzo Mara nyingi mpaka nayeye atafunwe.


Sikia Acha kucheka Cheka na kumbembeleza .


Hawa wanawake wanahitaji Maisha mix, Leo Unakaza sauti...Kesho unabembeleza, kesho unakua kama simba, kesho kama kondooo ..ndivo wanataka.


Huo ustaharabu wako ni wa kijinga tuu....


Anyway Kwa kosa kama ilo , Inamaana tuseme bado anafikiria lini atakusemee??

Bwanaeeee, Wewe ongea naye, tena ongea kifalme , asikuleteee mbwembwe wala nn..


Mchame laivuuu, Mimi ni mwanaume, nilikusaliti sababu wewe mwenyewe uliacha kunipa u nyumba sababu ya uchumi wangu kutikisika, Nmekuomba msamaha, Leo hii ni miezi kadhaa sijakutana nawee.... Sasa Mimi nasema hivi, Kama utaendelea ivivi Nita kwenda nje.


alafu unatulia...Baada ya hapo jifanye kua unajipkia mwenyewe , unajifulia mwenyewe , unasafisha nyumba mwenyewe Yaan kimya kimya tena huku unapiga miluzi... Huku unapokea simu (fake ) za watu , unapokea simu , unachat sanaaaaaa, unachekaaa weee, unaongea nasimu unachekaa, unachat JF unacheka ( yote haya hakikisha anayaona na kuyasikia )..


Fanya ivo, alafu HAMA kabisa Chumba, lala sebuleni , NUNUA KARANGA MBICHI HATA KILO MBILI......


Endelea kuchat , endelea kuongea nasimu. safisha nyumba yako, panga vitu upya tofauti na alivyopanga yeye... Nunua shuka moja jipya zurii, ,uliweke kabatini chumban , ( Atakimbilia kulitandika, Gomba sanaaa, kwann umelitandika?? Unajua lann ?? Unajua nikwajili ya nani??)...


Litoee , kuja vzuri uliweke pale pale... Endelea kuongea nasimu mpaka chooni. Endelea kua bize, endelea kujipikia,.Endelea kula karanga



Fanya kwa wiki moja tu ....
ASIPOANZA KUKUTEGA UMLE MZIGO...


njooo unipe mrejesho , Nikupe mbinu yapili...


Hawa wanawake, Ni kucheza na Akili yao tu.


Ila nawewe Tafuta pesa alaaah.
Hah hah hapo kwenye karanga mbichi nimecheka sn aise
 
Back
Top Bottom