Uliwahi kufumaniwa

Uliwahi kufumaniwa

Tatizo lipo kwako zaidi: ww ni mzinzi halafu sasa hivi umekuwa mzinzi asiye na kazi. Mwanamke ni mvumilivu sana huyo.

Imagine ungegundua yeye ana watoto wawili na alikuficha halafu wakati unajaribu kutafuta sababu ya kumsamehe na kuheal kisaikolojia unamfumania kitandani kwako na mwanaume. Hiyo imagination ndo anayoipitia sasa, ukimwacha utakuwa umemsaidia sana.
 
[emoji119][emoji119]
Mmezaa ??? . tatizo hawa wakishakufuma ili mpaka arudi mwanzo Mara nyingi mpaka nayeye atafunwe.


Sikia Acha kucheka Cheka na kumbembeleza .


Hawa wanawake wanahitaji Maisha mix, Leo Unakaza sauti...Kesho unabembeleza, kesho unakua kama simba, kesho kama kondooo ..ndivo wanataka.


Huo ustaharabu wako ni wa kijinga tuu....


Anyway Kwa kosa kama ilo , Inamaana tuseme bado anafikiria lini atakusemee??

Bwanaeeee, Wewe ongea naye, tena ongea kifalme , asikuleteee mbwembwe wala nn..


Mchame laivuuu, Mimi ni mwanaume, nilikusaliti sababu wewe mwenyewe uliacha kunipa u nyumba sababu ya uchumi wangu kutikisika, Nmekuomba msamaha, Leo hii ni miezi kadhaa sijakutana nawee.... Sasa Mimi nasema hivi, Kama utaendelea ivivi Nita kwenda nje.


alafu unatulia...Baada ya hapo jifanye kua unajipkia mwenyewe , unajifulia mwenyewe , unasafisha nyumba mwenyewe Yaan kimya kimya tena huku unapiga miluzi... Huku unapokea simu (fake ) za watu , unapokea simu , unachat sanaaaaaa, unachekaaa weee, unaongea nasimu unachekaa, unachat JF unacheka ( yote haya hakikisha anayaona na kuyasikia )..


Fanya ivo, alafu HAMA kabisa Chumba, lala sebuleni , NUNUA KARANGA MBICHI HATA KILO MBILI......


Endelea kuchat , endelea kuongea nasimu. safisha nyumba yako, panga vitu upya tofauti na alivyopanga yeye... Nunua shuka moja jipya zurii, ,uliweke kabatini chumban , ( Atakimbilia kulitandika, Gomba sanaaa, kwann umelitandika?? Unajua lann ?? Unajua nikwajili ya nani??)...


Litoee , kuja vzuri uliweke pale pale... Endelea kuongea nasimu mpaka chooni. Endelea kua bize, endelea kujipikia,.Endelea kula karanga



Fanya kwa wiki moja tu ....
ASIPOANZA KUKUTEGA UMLE MZIGO...


njooo unipe mrejesho , Nikupe mbinu yapili...


Hawa wanawake, Ni kucheza na Akili yao tu.


Ila nawewe Tafuta pesa alaaah.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmezaa ??? . tatizo hawa wakishakufuma ili mpaka arudi mwanzo Mara nyingi mpaka nayeye atafunwe.


Sikia Acha kucheka Cheka na kumbembeleza .


Hawa wanawake wanahitaji Maisha mix, Leo Unakaza sauti...Kesho unabembeleza, kesho unakua kama simba, kesho kama kondooo ..ndivo wanataka.


Huo ustaharabu wako ni wa kijinga tuu....


Anyway Kwa kosa kama ilo , Inamaana tuseme bado anafikiria lini atakusemee??

Bwanaeeee, Wewe ongea naye, tena ongea kifalme , asikuleteee mbwembwe wala nn..


Mchame laivuuu, Mimi ni mwanaume, nilikusaliti sababu wewe mwenyewe uliacha kunipa u nyumba sababu ya uchumi wangu kutikisika, Nmekuomba msamaha, Leo hii ni miezi kadhaa sijakutana nawee.... Sasa Mimi nasema hivi, Kama utaendelea ivivi Nita kwenda nje.


alafu unatulia...Baada ya hapo jifanye kua unajipkia mwenyewe , unajifulia mwenyewe , unasafisha nyumba mwenyewe Yaan kimya kimya tena huku unapiga miluzi... Huku unapokea simu (fake ) za watu , unapokea simu , unachat sanaaaaaa, unachekaaa weee, unaongea nasimu unachekaa, unachat JF unacheka ( yote haya hakikisha anayaona na kuyasikia )..


Fanya ivo, alafu HAMA kabisa Chumba, lala sebuleni , NUNUA KARANGA MBICHI HATA KILO MBILI......


Endelea kuchat , endelea kuongea nasimu. safisha nyumba yako, panga vitu upya tofauti na alivyopanga yeye... Nunua shuka moja jipya zurii, ,uliweke kabatini chumban , ( Atakimbilia kulitandika, Gomba sanaaa, kwann umelitandika?? Unajua lann ?? Unajua nikwajili ya nani??)...


Litoee , kuja vzuri uliweke pale pale... Endelea kuongea nasimu mpaka chooni. Endelea kua bize, endelea kujipikia,.Endelea kula karanga



Fanya kwa wiki moja tu ....
ASIPOANZA KUKUTEGA UMLE MZIGO...


njooo unipe mrejesho , Nikupe mbinu yapili...


Hawa wanawake, Ni kucheza na Akili yao tu.


Ila nawewe Tafuta pesa alaaah.
Nimeipenda hii mbinu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unawezaje kuleta mwanamke ndani kwenye nyumba unayoishi na mwanamke tena mbaya zaidi kwenye wakati ambao huna kazi,huna hela.???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 ninaishi na mwanamke ambae tumepanga kuoana na kufunga ndoa. Nilipokutana na mwezangu nilikuwa nafanya kazi serikalini kwa mkataba. Kipindi chote hicho tuliishi vizuri tu japo palikuwa na changamoto mija ikiwa mimi tayali nina watoto wawili amboa mwanzoni mwa mahusiano yetu sikumwambia but badae akaja kujua japo alichukia lakin mambo yakawa sawa.
Mnamo mwaka jana mkataba wangu wa kazi ukafika meisho na kuto kuendelea apo ndipo changamoto za mahusiano zikaanza kwa kulaumiwa kuwa nafanya mawasiliano na mzazi mwezangu nilie zaanae mala nina wanawake wengi. Nakumbuka baada ya miezi kama miwili hivi toka mimi kutokuwa na kazi lasmi mapombo ya ndani kwa mwezangu yakawa tofauti nikiomba unyumba mala naumwa na tumbo mala nimechoka mala sijisikii iyo ikanipelekea kukaa zaidi ya miezi miwili no kukutana kimwili. Kwakuwa ninahamu ya kuduu nilimuita msichana mmoja aje home alipo kuja nikamshawishi akaingia kenge sasa nipo nae ktk ulingo gafla mwezangu anaingia ndani na kumkuta mwanamke. Alilalamika sana nimeshindwa kumvumilia kutokana na alivyo kuwa ananiambia kuwa anaumwa ama amechoka na kazi. Nilijishusha nikamuomba msamaha taishe nimekosea tuyamalize tu. Alichokifanya ni kuwapigia simu mawifi zake na kuwaeleza kilichotokea huku huku akijisahau kwamba yeye ndio chanzo cha yote. Sasa toka kanifumania hata atakiki kunipa mzigo nikimgusa utasikia ebu niache bwana week up to week nilicho amua mimi kuto mgusa wala kumsumbua hadi atakapo jisikia mwenyewe yapata mwezi na nusu sasa na nimepanga ikifika miezi mitatu nitaachana nae kwakuwa mimi ni mwanaume nilie kamilika sitoweza kuvumilia zaidi kuona mzigo kwa macho tu. Mana unalala nae kitanda kimoja na anaoga unamuona so nisije nikaja kumbaka japo ni mwezangu ninae ishinae. So naomba ushauri wenu wandugu coz nifanyeje ili niweze jikomoa na hili.
Aise hii dunia vimbwanga vyake yaani umeoa na bado haki yako hupati mpaka hapo mkuu wewe una moyo sana dah usikute mkeo anachapika nje hahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmezaa ??? . tatizo hawa wakishakufuma ili mpaka arudi mwanzo Mara nyingi mpaka nayeye atafunwe.


Sikia Acha kucheka Cheka na kumbembeleza .


Hawa wanawake wanahitaji Maisha mix, Leo Unakaza sauti...Kesho unabembeleza, kesho unakua kama simba, kesho kama kondooo ..ndivo wanataka.


Huo ustaharabu wako ni wa kijinga tuu....


Anyway Kwa kosa kama ilo , Inamaana tuseme bado anafikiria lini atakusemee??

Bwanaeeee, Wewe ongea naye, tena ongea kifalme , asikuleteee mbwembwe wala nn..


Mchame laivuuu, Mimi ni mwanaume, nilikusaliti sababu wewe mwenyewe uliacha kunipa u nyumba sababu ya uchumi wangu kutikisika, Nmekuomba msamaha, Leo hii ni miezi kadhaa sijakutana nawee.... Sasa Mimi nasema hivi, Kama utaendelea ivivi Nita kwenda nje.


alafu unatulia...Baada ya hapo jifanye kua unajipkia mwenyewe , unajifulia mwenyewe , unasafisha nyumba mwenyewe Yaan kimya kimya tena huku unapiga miluzi... Huku unapokea simu (fake ) za watu , unapokea simu , unachat sanaaaaaa, unachekaaa weee, unaongea nasimu unachekaa, unachat JF unacheka ( yote haya hakikisha anayaona na kuyasikia )..


Fanya ivo, alafu HAMA kabisa Chumba, lala sebuleni , NUNUA KARANGA MBICHI HATA KILO MBILI......


Endelea kuchat , endelea kuongea nasimu. safisha nyumba yako, panga vitu upya tofauti na alivyopanga yeye... Nunua shuka moja jipya zurii, ,uliweke kabatini chumban , ( Atakimbilia kulitandika, Gomba sanaaa, kwann umelitandika?? Unajua lann ?? Unajua nikwajili ya nani??)...


Litoee , kuja vzuri uliweke pale pale... Endelea kuongea nasimu mpaka chooni. Endelea kua bize, endelea kujipikia,.Endelea kula karanga



Fanya kwa wiki moja tu ....
ASIPOANZA KUKUTEGA UMLE MZIGO...


njooo unipe mrejesho , Nikupe mbinu yapili...


Hawa wanawake, Ni kucheza na Akili yao tu.


Ila nawewe Tafuta pesa alaaah.

Hii kazi yote ya nini?
 
Mmezaa ??? . tatizo hawa wakishakufuma ili mpaka arudi mwanzo Mara nyingi mpaka nayeye atafunwe.


Sikia Acha kucheka Cheka na kumbembeleza .


Hawa wanawake wanahitaji Maisha mix, Leo Unakaza sauti...Kesho unabembeleza, kesho unakua kama simba, kesho kama kondooo ..ndivo wanataka.


Huo ustaharabu wako ni wa kijinga tuu....


Anyway Kwa kosa kama ilo , Inamaana tuseme bado anafikiria lini atakusemee??

Bwanaeeee, Wewe ongea naye, tena ongea kifalme , asikuleteee mbwembwe wala nn..


Mchame laivuuu, Mimi ni mwanaume, nilikusaliti sababu wewe mwenyewe uliacha kunipa u nyumba sababu ya uchumi wangu kutikisika, Nmekuomba msamaha, Leo hii ni miezi kadhaa sijakutana nawee.... Sasa Mimi nasema hivi, Kama utaendelea ivivi Nita kwenda nje.


alafu unatulia...Baada ya hapo jifanye kua unajipkia mwenyewe , unajifulia mwenyewe , unasafisha nyumba mwenyewe Yaan kimya kimya tena huku unapiga miluzi... Huku unapokea simu (fake ) za watu , unapokea simu , unachat sanaaaaaa, unachekaaa weee, unaongea nasimu unachekaa, unachat JF unacheka ( yote haya hakikisha anayaona na kuyasikia )..


Fanya ivo, alafu HAMA kabisa Chumba, lala sebuleni , NUNUA KARANGA MBICHI HATA KILO MBILI......


Endelea kuchat , endelea kuongea nasimu. safisha nyumba yako, panga vitu upya tofauti na alivyopanga yeye... Nunua shuka moja jipya zurii, ,uliweke kabatini chumban , ( Atakimbilia kulitandika, Gomba sanaaa, kwann umelitandika?? Unajua lann ?? Unajua nikwajili ya nani??)...


Litoee , kuja vzuri uliweke pale pale... Endelea kuongea nasimu mpaka chooni. Endelea kua bize, endelea kujipikia,.Endelea kula karanga



Fanya kwa wiki moja tu ....
ASIPOANZA KUKUTEGA UMLE MZIGO...


njooo unipe mrejesho , Nikupe mbinu yapili...


Hawa wanawake, Ni kucheza na Akili yao tu.


Ila nawewe Tafuta pesa alaaah.
Hahahaaa Ma men[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ujinga tafuta kazi au pesa mwenyewe atakuomba gemu, mwanamke hajaumbiwa shida, shida ni zetu wanaume tu
 
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 ninaishi na mwanamke ambae tumepanga kuoana na kufunga ndoa. Nilipokutana na mwezangu nilikuwa nafanya kazi serikalini kwa mkataba. Kipindi chote hicho tuliishi vizuri tu japo palikuwa na changamoto mija ikiwa mimi tayali nina watoto wawili amboa mwanzoni mwa mahusiano yetu sikumwambia but badae akaja kujua japo alichukia lakin mambo yakawa sawa.
Mnamo mwaka jana mkataba wangu wa kazi ukafika meisho na kuto kuendelea apo ndipo changamoto za mahusiano zikaanza kwa kulaumiwa kuwa nafanya mawasiliano na mzazi mwezangu nilie zaanae mala nina wanawake wengi. Nakumbuka baada ya miezi kama miwili hivi toka mimi kutokuwa na kazi lasmi mapombo ya ndani kwa mwezangu yakawa tofauti nikiomba unyumba mala naumwa na tumbo mala nimechoka mala sijisikii iyo ikanipelekea kukaa zaidi ya miezi miwili no kukutana kimwili. Kwakuwa ninahamu ya kuduu nilimuita msichana mmoja aje home alipo kuja nikamshawishi akaingia kenge sasa nipo nae ktk ulingo gafla mwezangu anaingia ndani na kumkuta mwanamke. Alilalamika sana nimeshindwa kumvumilia kutokana na alivyo kuwa ananiambia kuwa anaumwa ama amechoka na kazi. Nilijishusha nikamuomba msamaha taishe nimekosea tuyamalize tu. Alichokifanya ni kuwapigia simu mawifi zake na kuwaeleza kilichotokea huku huku akijisahau kwamba yeye ndio chanzo cha yote. Sasa toka kanifumania hata atakiki kunipa mzigo nikimgusa utasikia ebu niache bwana week up to week nilicho amua mimi kuto mgusa wala kumsumbua hadi atakapo jisikia mwenyewe yapata mwezi na nusu sasa na nimepanga ikifika miezi mitatu nitaachana nae kwakuwa mimi ni mwanaume nilie kamilika sitoweza kuvumilia zaidi kuona mzigo kwa macho tu. Mana unalala nae kitanda kimoja na anaoga unamuona so nisije nikaja kumbaka japo ni mwezangu ninae ishinae. So naomba ushauri wenu wandugu coz nifanyeje ili niweze jikomoa na hili.
Idiot
 
Uzoefu unaonesha

☎☎☎Haki ya kufanya mapenzi na mkeo na sio malaya wala mchepuko☎☎☎

☎☎☎Haki ya kufanya mapenzi na mkeo na sio malaya wala mchepuko☎☎☎

☎☎☎Haki ya kufanya mapenzi na mkeo na sio malaya wala mchepuko☎☎☎

☎☎☎Haki ya kufanya mapenzi na mkeo na sio malaya wala mchepuko☎☎☎

☎☎☎Haki ya kufanya mapenzi na mkeo na sio malaya wala mchepuko☎☎☎

☎☎☎Haki ya kufanya mapenzi na mkeo na sio malaya wala mchepuko☎☎☎

☎☎☎Haki ya kufanya mapenzi na mkeo na sio malaya wala mchepuko☎☎☎

☎☎☎Haki ya kufanya mapenzi na mkeo na sio malaya wala mchepuko☎☎☎

☎☎☎Haki ya kufanya mapenzi na mkeo na sio malaya wala mchepuko☎☎☎

☎☎☎Haki ya kufanya mapenzi na mkeo na sio malaya wala mchepuko☎☎☎

☎☎☎Haki ya kufanya mapenzi na mkeo na sio malaya wala mchepuko☎☎☎

☎☎☎Haki ya kufanya mapenzi na mkeo na sio malaya wala mchepuko☎☎☎

 
Back
Top Bottom