Hiyo adhabu nzito sanaSasa kosa limeshatokea, jamaa kakiri kosa, miezi sasa bado anamuadhibu...mpaka lini???
Alafu hapo ukatili uko wapi??? Mbona hajamgusa Bali kaamua kubizika na mambo yake.
Kwa nn wasema hivyo
Unamshauri Jamaa afanye nn...aendelee kua kama mshumaa????
Asubiri mpaka atakaposamehewa[emoji16][emoji16]Unamshauri Jamaa afanye nn...aendelee kua kama mshumaa????
[emoji23][emoji23][emoji23]. Ila we jamaa,Mmezaa ??? . tatizo hawa wakishakufuma ili mpaka arudi mwanzo Mara nyingi mpaka nayeye atafunwe.
Sikia Acha kucheka Cheka na kumbembeleza .
Hawa wanawake wanahitaji Maisha mix, Leo Unakaza sauti...Kesho unabembeleza, kesho unakua kama simba, kesho kama kondooo ..ndivo wanataka.
Huo ustaharabu wako ni wa kijinga tuu....
Anyway Kwa kosa kama ilo , Inamaana tuseme bado anafikiria lini atakusemee??
Bwanaeeee, Wewe ongea naye, tena ongea kifalme , asikuleteee mbwembwe wala nn..
Mchame laivuuu, Mimi ni mwanaume, nilikusaliti sababu wewe mwenyewe uliacha kunipa u nyumba sababu ya uchumi wangu kutikisika, Nmekuomba msamaha, Leo hii ni miezi kadhaa sijakutana nawee.... Sasa Mimi nasema hivi, Kama utaendelea ivivi Nita kwenda nje.
alafu unatulia...Baada ya hapo jifanye kua unajipkia mwenyewe , unajifulia mwenyewe , unasafisha nyumba mwenyewe Yaan kimya kimya tena huku unapiga miluzi... Huku unapokea simu (fake ) za watu , unapokea simu , unachat sanaaaaaa, unachekaaa weee, unaongea nasimu unachekaa, unachat JF unacheka ( yote haya hakikisha anayaona na kuyasikia )..
Fanya ivo, alafu HAMA kabisa Chumba, lala sebuleni , NUNUA KARANGA MBICHI HATA KILO MBILI......
Endelea kuchat , endelea kuongea nasimu. safisha nyumba yako, panga vitu upya tofauti na alivyopanga yeye... Nunua shuka moja jipya zurii, ,uliweke kabatini chumban , ( Atakimbilia kulitandika, Gomba sanaaa, kwann umelitandika?? Unajua lann ?? Unajua nikwajili ya nani??)...
Litoee , kuja vzuri uliweke pale pale... Endelea kuongea nasimu mpaka chooni. Endelea kua bize, endelea kujipikia,.Endelea kula karanga
Fanya kwa wiki moja tu ....
ASIPOANZA KUKUTEGA UMLE MZIGO...
njooo unipe mrejesho , Nikupe mbinu yapili...
Hawa wanawake, Ni kucheza na Akili yao tu.
Ila nawewe Tafuta pesa alaaah.
Habar yako ChiefDuh noma.
Asubiri mpaka atakaposamehewa[emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOT
mimi ninampatia mwezi mwingine mambo yakiwa kama yalivyo sitokuwa na budi ya kuachana nae coz maisha ni mafupi. Why niumie wakati wanawake wapo wengi wenye heshima zao tu. Na waliotayali kuwanawe ktk shida na laha zote
Aahhh mama, sisi wengine sio wanywaji kusema kwamba nipoteze mawazo, sio walevi,sio nn....
Kama umeshafanya maamuzi uzi umeleta wa nini eti
Sent using Jamii Forums mobile app
Maamuzi yanabadilika mbona unapo pata ushaul mzuri
Angekuwa hana mpango wa kusamehe angeshaondoka. Hapo tayari ameshasamehe sema jamaa yako anashindwa tu kukaza na kusimama kama mwanaume.... Amwambie tu kama umeamua kuishi na mimi basi timiza wajibu wako kama mke, na kama hunipendi tena mlango huo hapo. Au bi dada kama anahitaji muda zaidi wa kufikiria aende akakae kwao kwa muda apumzishe kichwa, atapata jibu kama anaweza kuendelea na hayo mahusiano au lahAahhh mama, sisi wengine sio wanywaji kusema kwamba nipoteze mawazo, sio walevi,sio nn....
Jamaan hapo kati ndio sehemu pekee inayotupa Kiburudisho kimwili nankiroho.
Ivi kweli Nina kaaa nawewe, uninyime iyo kitu daaahhh.
Mwanamke aamue moja..kama anasamehe...asamehee.kama hasemehi aseme hasemehi.
Uyo anaweza mpeleka jamaa hata miezi zaidi ya sita.
Bora ijulikane jamaa ni single Man
Hili ndio neno sasa !!!... Mtoa madaAngekuwa hana mpango wa kusamehe angeshaondoka. Hapo tayari ameshasamehe sema jamaa yako anashindwa tu kukaza na kusimama kama mwanaume.... Amwambie tu kama umeamua kuishi na mimi basi timiza wajibu wako kama mke, na kama hunipendi tena mlango huo hapo. Au bi dada kama anahitaji muda zaidi wa kufikiria aende akakae kwao kwa muda apumzishe kichwa, atapata jibu kama anaweza kuendelea na hayo mahusiano au lah
Sent using Jamii Forums mobile app
Salama tu mkuuHabar yako Chief
Aisee!!! Una uzowefu sana na hawa viumbe.Mmezaa ??? . tatizo hawa wakishakufuma ili mpaka arudi mwanzo Mara nyingi mpaka nayeye atafunwe.
Sikia Acha kucheka Cheka na kumbembeleza .
Hawa wanawake wanahitaji Maisha mix, Leo Unakaza sauti...Kesho unabembeleza, kesho unakua kama simba, kesho kama kondooo ..ndivo wanataka.
Huo ustaharabu wako ni wa kijinga tuu....
Anyway Kwa kosa kama ilo , Inamaana tuseme bado anafikiria lini atakusemee??
Bwanaeeee, Wewe ongea naye, tena ongea kifalme , asikuleteee mbwembwe wala nn..
Mchame laivuuu, Mimi ni mwanaume, nilikusaliti sababu wewe mwenyewe uliacha kunipa u nyumba sababu ya uchumi wangu kutikisika, Nmekuomba msamaha, Leo hii ni miezi kadhaa sijakutana nawee.... Sasa Mimi nasema hivi, Kama utaendelea ivivi Nita kwenda nje.
alafu unatulia...Baada ya hapo jifanye kua unajipkia mwenyewe , unajifulia mwenyewe , unasafisha nyumba mwenyewe Yaan kimya kimya tena huku unapiga miluzi... Huku unapokea simu (fake ) za watu , unapokea simu , unachat sanaaaaaa, unachekaaa weee, unaongea nasimu unachekaa, unachat JF unacheka ( yote haya hakikisha anayaona na kuyasikia )..
Fanya ivo, alafu HAMA kabisa Chumba, lala sebuleni , NUNUA KARANGA MBICHI HATA KILO MBILI......
Endelea kuchat , endelea kuongea nasimu. safisha nyumba yako, panga vitu upya tofauti na alivyopanga yeye... Nunua shuka moja jipya zurii, ,uliweke kabatini chumban , ( Atakimbilia kulitandika, Gomba sanaaa, kwann umelitandika?? Unajua lann ?? Unajua nikwajili ya nani??)...
Litoee , kuja vzuri uliweke pale pale... Endelea kuongea nasimu mpaka chooni. Endelea kua bize, endelea kujipikia,.Endelea kula karanga
Fanya kwa wiki moja tu ....
ASIPOANZA KUKUTEGA UMLE MZIGO...
njooo unipe mrejesho , Nikupe mbinu yapili...
Hawa wanawake, Ni kucheza na Akili yao tu.
Ila nawewe Tafuta pesa alaaah.
Hah hah hapo kwenye karanga mbichi nimecheka sn aiseMmezaa ??? . tatizo hawa wakishakufuma ili mpaka arudi mwanzo Mara nyingi mpaka nayeye atafunwe.
Sikia Acha kucheka Cheka na kumbembeleza .
Hawa wanawake wanahitaji Maisha mix, Leo Unakaza sauti...Kesho unabembeleza, kesho unakua kama simba, kesho kama kondooo ..ndivo wanataka.
Huo ustaharabu wako ni wa kijinga tuu....
Anyway Kwa kosa kama ilo , Inamaana tuseme bado anafikiria lini atakusemee??
Bwanaeeee, Wewe ongea naye, tena ongea kifalme , asikuleteee mbwembwe wala nn..
Mchame laivuuu, Mimi ni mwanaume, nilikusaliti sababu wewe mwenyewe uliacha kunipa u nyumba sababu ya uchumi wangu kutikisika, Nmekuomba msamaha, Leo hii ni miezi kadhaa sijakutana nawee.... Sasa Mimi nasema hivi, Kama utaendelea ivivi Nita kwenda nje.
alafu unatulia...Baada ya hapo jifanye kua unajipkia mwenyewe , unajifulia mwenyewe , unasafisha nyumba mwenyewe Yaan kimya kimya tena huku unapiga miluzi... Huku unapokea simu (fake ) za watu , unapokea simu , unachat sanaaaaaa, unachekaaa weee, unaongea nasimu unachekaa, unachat JF unacheka ( yote haya hakikisha anayaona na kuyasikia )..
Fanya ivo, alafu HAMA kabisa Chumba, lala sebuleni , NUNUA KARANGA MBICHI HATA KILO MBILI......
Endelea kuchat , endelea kuongea nasimu. safisha nyumba yako, panga vitu upya tofauti na alivyopanga yeye... Nunua shuka moja jipya zurii, ,uliweke kabatini chumban , ( Atakimbilia kulitandika, Gomba sanaaa, kwann umelitandika?? Unajua lann ?? Unajua nikwajili ya nani??)...
Litoee , kuja vzuri uliweke pale pale... Endelea kuongea nasimu mpaka chooni. Endelea kua bize, endelea kujipikia,.Endelea kula karanga
Fanya kwa wiki moja tu ....
ASIPOANZA KUKUTEGA UMLE MZIGO...
njooo unipe mrejesho , Nikupe mbinu yapili...
Hawa wanawake, Ni kucheza na Akili yao tu.
Ila nawewe Tafuta pesa alaaah.