Uliwahi kujitambulisha kwao kuweka nia kumuoa au kumtolea mahari lakini ukabadili gia angani? Why?

Uliwahi kujitambulisha kwao kuweka nia kumuoa au kumtolea mahari lakini ukabadili gia angani? Why?

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Posa ni kwenda kujitambulisha nyumbani kwa binti unataka kumuoa, Mahari ni mali / pesa ambayo muoaji ataitoa.

Inaweza kutokea Mwanaume kashatoa posa / mahari, mategemeo ya ndoa yanakuwa makubwa lakini mambo yanakuwa ndivyo sivyo

Uliwahi kukutana na hii hali?
 
Binafsi nakumbuka kuna rafiki alishatoa mahari shilingi milioni 2, lakini miezi michache kabla ya ndoa katika harakati za kuanza kuandaa harusi akabaini kwamba mchumba wake ana mtoto na hakuwahi kumwambia, Shughuli iliishia hapo !! hakuwahi kudai mahari aliiacha iende.
 
Binafsi nakumbuka kuna rafiki alishatoa mahari shilingi milioni 2, lakini miezi michache kabla ya ndoa katika harakati za kuanza kuandaa harusi akabaini kwamba mchumba wake ana mtoto na hakuwahi kumwambia, Shughuli iliishia hapo !! hakuwahi kudai mahari aliiacha iende.
Ujasiri wa kulipa mahali yote aliutoa wapi??? aliwaletea dharau sana wazee wake, mahali huwa inalipwa nusu au kidogo tu na haijawahi isha
 
Posa ni kule kwenda kujitambulisha kwa binti kama unataka kuoa

Mahari ni ile mali{pesa/kitu} ambacho muolewaji huitaji na muoaji hutoa kumpa mkewe mtarajiwa, na muda mwingine twaita ni ZAWADI kwa wanawake

Huwa inatoke binti umeenda kumtolea posa au mahari lakini kabla ya ndoa kuna mambo hutokea yanayowia iwe vigumu kuoa,

Uliwahi kukutana na hii hali ?
Ilinitokea 2019, nikatoa mahari ila ndani ya mieizi 2 nikaghairi hata mahari sikwenda kudai nikaingia mitini tu.
 
Ngoja niwaite my brothers in Jesus waje watupe ushuhuda wao,
Bantu Lady Evelyn Salt Kapeace Lamomy
oi wajomba, nini kiliwakuta mazee..??😂😂
Chalii yangu Carleen unajua nini, yule demu nilimwambia mahari isizidi laki 3. Kufika makwao huko mahari 10m. Tukaomba tuongee pembeni, tukawaacha na sherehe yao ya kupokea mahari hewa. 🤣🤣🤣🤣
 
Ilikuwa inashangaza zamani, sikuhizi unaachwa katikati ya ibada ya kuvishanana Pete au honeymoon....tukubali tukatae ndoa si kitu kikubwa sana sikuhizi...Tena watu hawana muda hata wa kurudishiwa mahari....unaachiwa K yako na pesa zako uanzie mtaji wa kudanga....kwa kununulia make-ups na vigauni vifupi vya kujiuzia🤒
 
Chalii yangu Carleen unajua nini, yule demu nilimwambia mahari isizidi laki 3. Kufika makwao huko mahari 10m. Tukaomba tuongee pembeni, tukawaacha na sherehe yao ya kupokea mahari hewa. 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Umesema yule demu? Hakika mlioanza kumwaribu huyo kipenzi naomba mwache maramoja...yaan haraka sanaa 😖
 
Posa ni kule kwenda kujitambulisha kwa binti kama unataka kuoa

Mahari ni ile mali{pesa/kitu} ambacho muolewaji huitaji na muoaji hutoa kumpa mkewe mtarajiwa, na muda mwingine twaita ni ZAWADI kwa wanawake

Huwa inatoke binti umeenda kumtolea posa au mahari lakini kabla ya ndoa kuna mambo hutokea yanayowia iwe vigumu kuoa,

Uliwahi kukutana na hii hali ?
Kwa kuwa humu wengi hutumia neno *kuna jamaa yangu flani"
Basi nami ngoja niseme kuna jamaa yangu flani alishalipa mpaka mahali wakati hajapewa mzigo then siku chache kabla ya harusi akapata bahati ya kuonja mzigo akagundua mke mtarajiwa anacheza miguu yote miwili wakati jamaangu yeye sio mtumiaji wa mtaro.
Alisamehe kila kitu akapita hivi
 
Kwa kuwa humu wengi hutumia neno *kuna jamaa yangu flani"
Basi nami ngoja niseme kuna jamaa yangu flani alishalipa mpaka mahali wakati hajapewa mzigo then siku chache kabla ya harusi akapata bahati ya kuonja mzigo akagundua mke mtarajiwa anacheza miguu yote miwili wakati jamaangu yeye sio mtumiaji wa mtaro.
Alisamehe kila kitu akapita hivi
Tikisa kabla ya matumizi rasmi
 
Ilikuwa inashangaza zamani, sikuhizi unaachwa katikati ya ibada ya kuvishanana Pete au honeymoon....tukubali tukatae ndoa si kitu kikubwa sana sikuhizi...Tena watu hawana muda hata wa kurudishiwa mahari....unaachiwa K yako na pesa zako uanzie mtaji wa kudanga....kwa kununulia make-ups na vigauni vifupi vya kujiuzia🤒
Aisee
 
Back
Top Bottom