Uliwahi kujitambulisha kwao kuweka nia kumuoa au kumtolea mahari lakini ukabadili gia angani? Why?

Uliwahi kujitambulisha kwao kuweka nia kumuoa au kumtolea mahari lakini ukabadili gia angani? Why?

Ngoja niwaite my brothers in Jesus waje watupe ushuhuda wao,
Bantu Lady Evelyn Salt Kapeace Lamomy
oi wajomba, nini kiliwakuta mazee..??😂😂
Mimi bana aliniambia yy hajawahi, siku nimempigia simu naumwa aje gheto nikatumia mbinu nikambananisha… lahaulaah!! Nikakuta kitu kinalia fyoko fyoko halafu naogelea kwenye bahari y’a hindi nilisamehe mpk nusu ya mahari niliyotoa 😂😂😂
 
Mimi bana aliniambia yy hajawahi, siku nimempigia simu naumwa aje gheto nikatumia mbinu nikambananisha… lahaulaah!! Nikakuta kitu kinalia fyoko fyoko halafu naogelea kwenye bahari y’a hindi nilisamehe mpk nusu ya mahari niliyotoa 😂😂😂
😂😂😂
Mtseeeuuuw' Bro bhaana..!!
 
Kwanini uoe, tuseme basi ndoa ni mpango wa Mungu. haya kwanini utoe mahari?

Nataka jibu haraka.
 
Posa ni kwenda kujitambulisha nyumbani kwa binti unataka kumuoa, Mahari ni mali / pesa ambayo muoaji ataitoa.

Inaweza kutokea Mwanaume kashatoa posa / mahari, mategemeo ya ndoa yanakuwa makubwa lakini mambo yanakuwa ndivyo sivyo

Uliwahi kukutana na hii hali?
Jamaaa yangu wa karibu alitoa mahali lakini alighairi kuoa kabisa.mimi ni rafiki yake wa karibu sana,ila hakuwahi niambia kasoro aliyoibaini kwa mchumba wake.Aliishia kusema nimegundua nikimuoa huyu msichana nitaishi maisha yasiyo ya furaha mpaka kufa kwangu.kwa hiyo sitamuoa wala sitaenda kudai mahali.Ilisababisha taharuki kubwa kwenye v familia vikao vingi vingi vya wazee, lakini jamaa alikaza na hatimaye jamaa alioa mke mwingine kwa ndoa.So kutolewa mahali siyo ndoa.upepo unawwza badirika
 
Back
Top Bottom