Ujasiri wa kulipa mahali yote aliutoa wapi??? aliwaletea dharau sana wazee wake, mahali huwa inalipwa nusu au kidogo tu na haijawahi ishaBinafsi nakumbuka kuna rafiki alishatoa mahari shilingi milioni 2, lakini miezi michache kabla ya ndoa katika harakati za kuanza kuandaa harusi akabaini kwamba mchumba wake ana mtoto na hakuwahi kumwambia, Shughuli iliishia hapo !! hakuwahi kudai mahari aliiacha iende.
Ilinitokea 2019, nikatoa mahari ila ndani ya mieizi 2 nikaghairi hata mahari sikwenda kudai nikaingia mitini tu.Posa ni kule kwenda kujitambulisha kwa binti kama unataka kuoa
Mahari ni ile mali{pesa/kitu} ambacho muolewaji huitaji na muoaji hutoa kumpa mkewe mtarajiwa, na muda mwingine twaita ni ZAWADI kwa wanawake
Huwa inatoke binti umeenda kumtolea posa au mahari lakini kabla ya ndoa kuna mambo hutokea yanayowia iwe vigumu kuoa,
Uliwahi kukutana na hii hali ?
Chalii yangu Carleen unajua nini, yule demu nilimwambia mahari isizidi laki 3. Kufika makwao huko mahari 10m. Tukaomba tuongee pembeni, tukawaacha na sherehe yao ya kupokea mahari hewa. 🤣🤣🤣🤣Ngoja niwaite my brothers in Jesus waje watupe ushuhuda wao,
Bantu Lady Evelyn Salt Kapeace Lamomy
oi wajomba, nini kiliwakuta mazee..??😂😂
🤣🤣🤣Umesema yule demu? Hakika mlioanza kumwaribu huyo kipenzi naomba mwache maramoja...yaan haraka sanaa 😖Chalii yangu Carleen unajua nini, yule demu nilimwambia mahari isizidi laki 3. Kufika makwao huko mahari 10m. Tukaomba tuongee pembeni, tukawaacha na sherehe yao ya kupokea mahari hewa. 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂🙌Chalii yangu Carleen unajua nini, yule demu nilimwambia mahari isizidi laki 3. Kufika makwao huko mahari 10m. Tukaomba tuongee pembeni, tukawaacha na sherehe yao ya kupokea mahari hewa. 🤣🤣🤣🤣
Kwa kuwa humu wengi hutumia neno *kuna jamaa yangu flani"Posa ni kule kwenda kujitambulisha kwa binti kama unataka kuoa
Mahari ni ile mali{pesa/kitu} ambacho muolewaji huitaji na muoaji hutoa kumpa mkewe mtarajiwa, na muda mwingine twaita ni ZAWADI kwa wanawake
Huwa inatoke binti umeenda kumtolea posa au mahari lakini kabla ya ndoa kuna mambo hutokea yanayowia iwe vigumu kuoa,
Uliwahi kukutana na hii hali ?
Tikisa kabla ya matumizi rasmiKwa kuwa humu wengi hutumia neno *kuna jamaa yangu flani"
Basi nami ngoja niseme kuna jamaa yangu flani alishalipa mpaka mahali wakati hajapewa mzigo then siku chache kabla ya harusi akapata bahati ya kuonja mzigo akagundua mke mtarajiwa anacheza miguu yote miwili wakati jamaangu yeye sio mtumiaji wa mtaro.
Alisamehe kila kitu akapita hivi
AiseeIlikuwa inashangaza zamani, sikuhizi unaachwa katikati ya ibada ya kuvishanana Pete au honeymoon....tukubali tukatae ndoa si kitu kikubwa sana sikuhizi...Tena watu hawana muda hata wa kurudishiwa mahari....unaachiwa K yako na pesa zako uanzie mtaji wa kudanga....kwa kununulia make-ups na vigauni vifupi vya kujiuzia🤒
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 bro acha tu....Ngoja niwaite my brothers in Jesus waje watupe ushuhuda wao,
Bantu Lady Evelyn Salt Kapeace Lamomy
oi wajomba, nini kiliwakuta mazee..??😂😂