Mimi bana aliniambia yy hajawahi, siku nimempigia simu naumwa aje gheto nikatumia mbinu nikambananishaโฆ lahaulaah!! Nikakuta kitu kinalia fyoko fyoko halafu naogelea kwenye bahari yโa hindi nilisamehe mpk nusu ya mahari niliyotoa ๐๐๐Ngoja niwaite my brothers in Jesus waje watupe ushuhuda wao,
Bantu Lady Evelyn Salt Kapeace Lamomy
oi wajomba, nini kiliwakuta mazee..??๐๐
๐๐๐Mimi bana aliniambia yy hajawahi, siku nimempigia simu naumwa aje gheto nikatumia mbinu nikambananishaโฆ lahaulaah!! Nikakuta kitu kinalia fyoko fyoko halafu naogelea kwenye bahari yโa hindi nilisamehe mpk nusu ya mahari niliyotoa ๐๐๐
๐๐๐๐๐๐
Mtseeeuuuw' Bro bhaana..!!
Vinee na hekaheka zake!!
Jamaaa yangu wa karibu alitoa mahali lakini alighairi kuoa kabisa.mimi ni rafiki yake wa karibu sana,ila hakuwahi niambia kasoro aliyoibaini kwa mchumba wake.Aliishia kusema nimegundua nikimuoa huyu msichana nitaishi maisha yasiyo ya furaha mpaka kufa kwangu.kwa hiyo sitamuoa wala sitaenda kudai mahali.Ilisababisha taharuki kubwa kwenye v familia vikao vingi vingi vya wazee, lakini jamaa alikaza na hatimaye jamaa alioa mke mwingine kwa ndoa.So kutolewa mahali siyo ndoa.upepo unawwza badirikaPosa ni kwenda kujitambulisha nyumbani kwa binti unataka kumuoa, Mahari ni mali / pesa ambayo muoaji ataitoa.
Inaweza kutokea Mwanaume kashatoa posa / mahari, mategemeo ya ndoa yanakuwa makubwa lakini mambo yanakuwa ndivyo sivyo
Uliwahi kukutana na hii hali?