Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahaha,alihofia anaeza toka na gobore akapiga kumbe ni mtoto au mkwe😂😂😂🤣🙌 Bora wewe ulikabidhiwa funguo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha,alihofia anaeza toka na gobore akapiga kumbe ni mtoto au mkwe😂😂😂🤣🙌 Bora wewe ulikabidhiwa funguo.
😆😆😆😆Usinikumbushe siku nimevusha nipo katkati ya game sister na mivurugu yake kaja kugonga dirisha kama naugomvi nae we flani Amka kuja kucheki kumbe time ya msosi ilinibidi niseme nimeshinda wakati nipo na njaa mbususu sikuweza kuiacha abadani nilipomaliza sasa njaaa hiyo ilinibidi niwe mpole kama kifaranga kwenye kiota 😆😆🍿Kuishi nyumbani kabla ya maisha ya kuanza kujitegemea huwa ni changamoto kubwa kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa vijana wa kiume.
Enzi hizo nakumbuka nilirudi likizo kutoka chuoni, Nilimpata mwenzangu wa kusongesha likizo, shughuli pevu ikawa ni kuvusha maana sikuwa na ghetto wala pesa za gesti.
Chumba changu kilikuwa nje kwenye vile vyumba vya wageni lakini ni lazima nipite upenuni mwa nyumba kubwa.
Ilibidi niwe na ushirikiano wa hali ya juu sana kumpandikiza mdogo wangu awe jasusi wa kunifanyia uchunguzi wa mazingira kabla sijavusha, utaratibu ulizoeleka nikaanza kuzoea kuvusha mara kwa mara.
Sasa siku ya siku nimeshavusha,
Nitaendelea, nimepata dharura.....
Wengine endeleeni kutiririka visa vyenu
Komando [emoji3]Nilikuwa nikikarbia na ninja wangu nampanga dogo wa home mana taa ni nyingi eneo zuri la kupita
Kwa kipindi kile usiku hauna mbaramwezi so dogo ana turn off circuit breaker km short imetokea, hzo seconds za wale kutahamaki me nshapita mda mwingi kweny ghetto la nnje.
Dogo alikuwa kiboko 🤣Nilikuwa nikikarbia na ninja wangu nampanga dogo wa home mana taa ni nyingi eneo zuri la kupita
Kwa kipindi kile usiku hauna mbaramwezi so dogo ana turn off circuit breaker km short imetokea, hzo seconds za wale kutahamaki me nshapita mda mwingi kweny ghetto la nnje.
Hapo unarushwa juu kwanza then unapewa round kick...Nyingne hii
Nilikua na demu aliyekua anaishi jirani na nyumbn ,ilikua kawaida yetu kila usiku mhuni nazunguka nyuma ya nyumba naenda kwao kumt**Bea bafuni kwao sometimes tunakamuana nje bila uoga Ila ni mida ya night.
Baada ya Yale mazoea ya kunyanduana kila tunapojiskia bila ya kushtukiwa na shangaz yke aliyekua anaishi nae pale kwao ( mara nyng shngz yke alikuwa hashindi pale home coz alikua ni nurse wa hospital / na alikua Akisoma kwa kipindi kile chuo kmj cha afya hp town ) si tukajiongeza bhn.
Mhuni nkaanza sasa kutoroka kila mida ya usiku nyumbn wakiingia tu kulala mm huyo nikawa nachomok kmykmyaa nazunguka nyuma ya nyumba naenda kulala kwa yule demu mpk mida ya saa 11 ile alfajiri inapolia hAzana .
Siku ya mwiz sio Arubain bali ni moja bhn. Siku hyo km kawaida yng nkawa nimeamka natoka mlangoni nyumbn kwa kina yule demu, hee kumbe Bi mdashi wangu ananichungulia kupitia kioo cha dirisha la nyumbn kwetu bila mm kujua, maana vioo vilikua ni vile vya tinted vyeusi.
Ile nimerud nmezama getini nafungua mlango tu mara paah! Maza huyu hp akanikamata shati kwa nguvu km vile mwizi.
Oya kilichoendelea baada ya pale ni shidaaaaa , nlishukuru tu Mungu maana kulikua na kimvua kile kinanyesha asubuhi, so ht majiran hawakuskia chochote kilichoendelea . Kwa ufupi kwa mnaowajua wamama wa KINYAKYUSA nadhani shughul yao kwenye kuongea mnaielewa [emoji3]...bc bhn ndio hvyo kilinuka ile day Ila ndio sikukoma mbn nikaja Rudia tukio km lile location nyngn .
Siku zote naamini ukitaki kuibiwa unaibiwa vizuri tu basi tu watu hawana ignition point ya kukuibia.Dogo alikuwa kiboko 🤣
niliwahi kunyakwa na dingii nimemkamatia dada wa kaz jikoni namkandraamizia mambo.Kuishi nyumbani kabla ya maisha ya kuanza kujitegemea huwa ni changamoto kubwa kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa vijana wa kiume.
Enzi hizo nakumbuka nilirudi likizo kutoka chuoni, Nilimpata mwenzangu wa kusongesha likizo, shughuli pevu ikawa ni kuvusha maana sikuwa na ghetto wala pesa za gesti.
Chumba changu kilikuwa nje kwenye vile vyumba vya wageni lakini ni lazima nipite upenuni mwa nyumba kubwa.
Ilibidi niwe na ushirikiano wa hali ya juu sana kumpandikiza mdogo wangu awe jasusi wa kunifanyia uchunguzi wa mazingira kabla sijavusha, utaratibu ulizoeleka nikaanza kuzoea kuvusha mara kwa mara.
Sasa siku ya siku nimeshavusha,
Nitaendelea, nimepata dharura.....
Wengine endeleeni kutiririka visa vyenu
Hapo utatetema sana tu 🤣🤣🤣🤣🤣 kama wiki nzima unaweza ukawa ukimwona mshua una tetema.ni
niliwahi kunyakwa na dingii nimemkamatia dada wa kaz jikoni namkandraamizia mambo.
Cha ajabu tuliangaliana macho kwa macho na dingii na halafu hajaongea kitu,
Nilipata hofu itakuja, nilikua navibrate miguu kama kiswaswadu , nikitafakari kichapo chake kitakuaje......
Mwanangu ding alikuwa snitch sio [emoji23].Mimi Kuna siku nilivusha kizembe dingi akanistukia akanipiga mikwara ya hatari Sana Hadi nikakoma.
Tangia hapo nikaanza kwenda kutombea kwa washikaji.Dingi yangu alikuwaga mnoko sio poa kbsa.
Utakua umepigwa kifafiiKuishi nyumbani kabla ya maisha ya kuanza kujitegemea huwa ni changamoto kubwa kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa vijana wa kiume.
Enzi hizo nakumbuka nilirudi likizo kutoka chuoni, Nilimpata mwenzangu wa kusongesha likizo, shughuli pevu ikawa ni kuvusha maana sikuwa na ghetto wala pesa za gesti.
Chumba changu kilikuwa nje kwenye vile vyumba vya wageni lakini ni lazima nipite upenuni mwa nyumba kubwa.
Ilibidi niwe na ushirikiano wa hali ya juu sana kumpandikiza mdogo wangu awe jasusi wa kunifanyia uchunguzi wa mazingira kabla sijavusha, utaratibu ulizoeleka nikaanza kuzoea kuvusha mara kwa mara.
Sasa siku ya siku nimeshavusha,
Nitaendelea, nimepata dharura.....
Wengine endeleeni kutiririka visa vyenu
Ila uzuri hakuna mke wa mtu hapoKatika harakati za ujana nimevusha round mbili nakuvushwa round moja.
1: Siku ya kwanza na vusha mother alikua kasepa kikazi na dingi akaona acha akazurure zake kijijini kumdekea mama yake, msela nimeachwa zangu home kama sungu sungu nalala gheto la nje machalii ndani.
Zoezi lilikua hivi nilivusha mara za kutosha mademu tofauti wa kitaa ila mwisho wa siku nilidakwa na mdingi , vusha mtoto ile nimeanza kupiga mzingo tupo kati kwa kati nasikia hone ya gari huko nje, mwamba nikakaza ikabidi madogo watoke nyumba kubwa kufungua,
dingi alivyo mnafiki kinyama aliamua kuja bila taarifa kafunguliwa geti na madogo alafu analeta usnichi anataka niona asee ilibidi tuu nifungue mlango wa gheto maana dingi kagonga vya kutosha , dingi alicho nambia tuu baada ya kumuona mrembo alinivuta chemba kama mwizi rungu bado imesimama hivi akaniambia umeanza kuota sharubu kama mimi asee kilicho endelea wenzangu mtamalizia ila ........
2: Nyingine nilivusha wazazi wote wakiwepo hii alinizoom bimkubwa wangu anakuaga na tabia mbaya huyu bi mkubwa kukaa kwa dirishani kila saa kucheck check nje kama mlinzi sijui anakuaga na machale gani, hiyo siku alininyaka ila aliniachia tuu kinamna maana alikuaga anaiona boya boya wa mademu
ila bi mdashi wakati mwingine ana nisaksia vitoto basi nakua boya kichizi akawa anahisi mimi ni hanithi , hiyo siku kanifumania akanivungia ila kesho yake nilitumikia viboko kadhaa kwa bi mkubwa na sala ya Toba juu, huku akidai anataka nimkutanishe na huyo binti asee mwamba nilisakamwa kwa week nzima mpaka msosi ukawa hauliki kwa raha , pigishwa kazi haswa kama adhabu ila ilibidi tuu nitumikie kwa utiifu
3: Nilivushwa na demu geti kali . Nilipitishwa kwa mlango wa nyuma ile kufika tuu room kwake nasikia upande wapili dingi yake anaongea kuuliza anasem yupo seblen ila hawezi sanuka maana hana mazoea ya kugonga room za mabinti zake.
Ase hii siku mwamba mtambo uligoma kusimama siyo kwa zile hofu za sauti za mzee wake, yani nilikua natetemeka kila mahali mithili ya mtu anayetaka kufa kwa baridi kali. Kila nikisikia sauti ya mzee wake inatokea seblen basi mimi kama panya natetemeka mbaya mpaka nahisi kukosa pumzi. Mwamba niliishia piga tuu vidole nyapu ya manzi kivivu ila demu alinielewa shida ni nini maana haikua kawaida yangu kutetemeka vile tukiwa viwanja.
WAKUU NASISITIZA TUU VIJANA TAFUTENI MAGHETO AU HELA ZA GEST KUVUSHA NA KUVUSHWA NI RISK SANA
Chanzo: comment namba 45