Rare Sapphire
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 590
- 1,648
Wakuu,
Wengi wamekuwa wakilalamika kuombwa rushwa ili waweze kupata huduma nzuri sehemu mbalimbali wanazokuwa wanajitaji huduma fulani, na ikitokea hujatoa basiutazungushwa sana mpaka mwenyewe uingie mfukoni kupaka mafuta vyuma ili mambo yaende. Baadhi wanasema kama hujawahi kuombwa rushwa basi wewe sio Mtanzania.
Je, imewahi kutokea ukakosa huduma fulani kwakuwa ulishindwa kutoa rushwa? Ulichukua hatua gani kukabiliana na hilo? Uliripoti katika mamlaka husika juu ya jambo hilo?
Wengi wamekuwa wakilalamika kuombwa rushwa ili waweze kupata huduma nzuri sehemu mbalimbali wanazokuwa wanajitaji huduma fulani, na ikitokea hujatoa basiutazungushwa sana mpaka mwenyewe uingie mfukoni kupaka mafuta vyuma ili mambo yaende. Baadhi wanasema kama hujawahi kuombwa rushwa basi wewe sio Mtanzania.
Je, imewahi kutokea ukakosa huduma fulani kwakuwa ulishindwa kutoa rushwa? Ulichukua hatua gani kukabiliana na hilo? Uliripoti katika mamlaka husika juu ya jambo hilo?