Uliwahi kulilia mapenzi?

Bora ninyi mnaliaga mkiwa mmebreakup, Mi mwenzenu naliaga nikiwa niko kwenye mahusiano, naliaga nikiwa bado najali, naliaga nikiwa najaribu kila liwezekanalo kuyafanya mahusiano yasife. Ila once nikitangaziwa kuachwa/ nikitangaza kuacha alooooh! Nakuwaga na roho ya jiwe. Silii ndio kwanza naenda kujipongeza kuwa atleast i tried πŸ˜€πŸ˜€

Break up huwa ni hatua ya mwisho kabisa baada yakuwa nimepambana sana, mimi ni king’ang’a jamani. 🀣 ila nikishakubali yameisha, Weeeee!

Ujana bwana! Bora nilishapita.
 
well done Mwanaume kamili πŸ‘Š
 
Hongera sana kwa kutambua madhaifu yako yafanyie kazi, ukweli ni kwamba mwanamke bora/mwanaume bora huwa haji maishani mwetu mara mbili… Utaupgrade uwezavyo, ila kamwe huwezi kuziba gape la mwenza bora.
Ni kweli. Ngoja nimpete tu chimamy wangu, nimpe upendo anaostahili
 
Pole sana una mahaba mazito..!! Ukipata nafasi ya kupenda PENDA na ukikinai ondoka usigeuke nyuma.!
 
Mi nachangamsha kijiwe hapa wala simaanishi, ila yule jamaa nilimkosea nafsi imenisuta sana ndiomana nilimuacha nikalia kwa huzuni..!! Ila namrudia nimegundua alikuja duniani kwaajiri yangu😜
Vizuri, mrudie innocent man.
 
Sasa hv kdg najiweza mamaa, kwa lishangazi nilikuwa nae mana nlkuwa na maisha magumu huku nawe pia ulikuwa unataka chcht kitu kutoka kwa Mm mpenzi wako. Ila sasa nataka kuwa nawe tuu
Kwahiyo ss hivi umepata pesa?? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…