Uliwahi kuona nini WhatsApp status?

Uliwahi kuona nini WhatsApp status?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe kama mimi, yaani sina mpango wa kubadikisha DP maisha yangu yote...yaani ni kama picha ya kitambulisho cha nida tu.
Kama dp ya JF na twitter..........na sina mpango wa kubadilisha

Ujue bwana wabongo sisi jau san mtu hana time ukiweka status ndo anakoment wee upo .....yahn kwmba bila status asingejua kama upo so me nakaushaga tu.
 
Kuna jamaa yupo Kenya na ni mtu mzima tu tuliwahi kufanya biashara fulani sasa nkasave namba yake..Hamadi! Siku ya kwanza kuview status zake nkaona kaweka porno status kama tano zinafuatana zote porno nkafikiri labda bahati mbaya,kesho akaweka tena na tena akatuma na screenshot ya viewers aisee jamaa ana zaid ya watu 5000 wanaoview status zake na kila siku anapost xxx za kibongo,korea,kenya, USA n.k na huwa anasema kama unaona nazingua kuweka porno futa namba yangu lakini nashangaa watu bado wameng'an'ania tu nikiwemo mimi nkagundua watu kibao wanapenda pilau hapa Africa Mashariki😂
Kila MTU anaangalia porn,
Tunazidia viwango na privacy

Ila wanaoweka status ni wamezidi ata kama
 
Kuna demu alijisahau akapost papa yake.....tumbua limeumuka shaved baadae akafuta fasta ...sijui alikosea alikua anamtumia msela akaliweka status
Mmhh. Niliwahi post document confidential kabisa. Najua ntamtumia mwenyewe kumbe imeenda kujiweka status. Salama baada ya viewers wachache tu kuna jamaa akanipigia simu kuwa nimepost document ya mtu. Tena mheshimiwa basi.
 
Status kuna unafki mwingi sana.

Kuna jamaa alipost jinsi ngamia anavyotaabika baada ya kuchinjwa huku akiweka caption ya kuwa binadamu sisi ni wakatili sana na akaongeza kwa kuweka nadhiri kuwa hatokuja kula nyama tena maisha yake yote.

Kuna siku nikaenda kumtembelea nikakuta kapika ugali nyama, nikamuliza mzee vipi mbona nyama tena na ulisema hutokula tena akajibu "naachaje kula nyama aisee".

Kimoyomoyo nikasema hiii...
Status watu wana pretend sana maisha
 
Kuna hio moja kali kuna manzi alipost papa na tgo kwenye status huku akisema #hubby mknd umeanza kuzoea # wajuba wakascreenshot faster
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Status kuna unafki mwingi sana.

Kuna jamaa alipost jinsi ngamia anavyotaabika baada ya kuchinjwa huku akiweka caption ya kuwa binadamu sisi ni wakatili sana na akaongeza kwa kuweka nadhiri kuwa hatokuja kula nyama tena maisha yake yote.

Kuna siku nikaenda kumtembelea nikakuta kapika ugali nyama, nikamuliza mzee vipi mbona nyama tena na ulisema hutokula tena akajibu "naachaje kula nyama aisee".

Kimoyomoyo nikasema hiii...
[emoji3]
 
Kila MTU anaangalia porn,
Tunazidia viwango na privacy

Ila wanaoweka status ni wamezidi ata kama
Kuna mtu namheshimu sana alinipa simu yake nimrekebishie kitu, sasa kama unavyojua hizi simu ukiingia chrome ukiandika herufi moja kwenye kusearch, wanakuletea suggestions kulingana na search history yako.

Sasa bwana nikaandika p, nikaona phonoretica imekuja kama suggestion ya kwanza kabisa, nikasema kimoyomoyo..hadi huyu..!
 
Kuna jamaa yupo Kenya na ni mtu mzima tu 2ltuliwahi kufanya biashara fulani sasa nkasave namba yake..Hamadi! Siku ya kwanza kuview status zake nkaona kaweka porno status kama tano zinafuatana zote porno nkafikiri labda bahati mbaya,kesho akaweka tena na tena akatuma na screenshot ya viewers aisee jamaa ana zaid ya watu 5000 wanaoview status zake na kila siku anapost xxx za kibongo,korea,kenya, USA n.k na huwa anasema kama unaona nazingua kuweka porno futa namba yangu lakini nashangaa watu bado wameng'an'ania tu nikiwemo mimi nkagundua watu kibao wanapenda pilau hapa Africa Mashariki😂
Late hio namba
 
Kuna demu alijisahau akapost papa yake.....tumbua limeumuka shaved baadae akafuta fasta ...sijui alikosea alikua anamtumia msela akaliweka status
Same stori kazini kwangu, huyu mdada alipitia wakati mgumu sana, kazi hakuacha wala hakukosa kuja hata siku moja.
 
Sijaona chochote chaajabu so far inawezekana ni kwasababu nipo very limited na contact zangu!Binafsi napenda kupost misosi🍛🍲 ninayopika,bible quotes,nikiwa vacay🏖️🧳,nikipendeza🤳 au special occasions birthday etc
 
Mmhh. Niliwahi post document confidential kabisa. Najua ntamtumia mwenyewe kumbe imeenda kujiweka status. Salama baada ya viewers wachache tu kuna jamaa akanipigia simu kuwa nimepost document ya mtu. Tena mheshimiwa basi.
madam nylon, nakusalimia tu..

assalaamu alaykum ✋
 
Kuna demu alijisahau akapost papa yake.....tumbua limeumuka shaved baadae akafuta fasta ...sijui alikosea alikua anamtumia msela akaliweka status
Hawa wanafanya kusudi bwana
Kuna hio moja kali kuna manzi alipost papa na tgo kwenye status huku akisema #hubby mknd umeanza kuzoea # wajuba wakascreenshot faster
Hii niliiona kuna mchizi mmoja alinitumia tena uyo dada alopost shoga ake [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] akamuuliza anasema alikua anatania sio yake
Kitu cha kijinga zaidi ni pale unapochati na mtu inbox halafu baadae unatuwekea sisi status[emoji23] eti ooh fulani umejua kunifurahisha
watu wa hivi wananishangazaga [emoji23] bado hapo siku ya birthday hajaanza kupost
 
kuna demu alikuw anaweka status za vijembe,kwa siku anaweka zaid ya picha 10 na vijembe juu,siku moja nikamwambia akajibu ameshazoea kama naona inshu nifute namba tu.kweli nilifanya ivo


baada ya week mbili alinitafuta kama masiara nikauliza nan akajitambulisha tu fresh.akanambia hivi kingkongtz we sumesomea course ya afya.kuna nafasi zimetoka kambini nitumie copy nimpelekee mkuu maana tunaelewana sana.

nilichukulia kawaida ,niliamua kumtumia.asa nikaosave tena namba yake,kama kawaida yake vijembe sana nikaamua kumute status zake.



baada ya usaili kupita huwez amin nilipata kaz ,kwenye usail tulikuw weng wao walihitaji 9 tuu.na matokeo yangu ata sio mazuri kivile ila demu alisababisha.


adi leo namheshimu na ujinga wake anaopostig namuita dada kanizid miaka 4

HAPO NDO HUWA NASHINDWA KUELEWA DUNIA IPOJE.tuishi tu peace na kila mtu ,tusichukulie serious sana
 
Back
Top Bottom