Karibu sanaNAWEKA KAMBI HAPA.
Kuna wale wanawake wanaitwa NGEDERE MAGARI anakusimamisha halafu anakuuliza unakwenda wapi.......Kwa mfano kakusimamisha maeneo ya Mbezi....ukimwambia naenda Tunduma naye atasema anakwenda hukohuko.....ukibadilisha ukimwambia nakwenda Rusumo naye atasema anakwenda huko,,,,,,,,Woteee malaya
Hilo nimelishuhudua sana.NI mtazamo ......
Madereva wa malori ni waungwana sana hakuna mfano......
Wachawi sana, wazinzi, wachafuKaribu utiririke…View attachment 3202512
😄😄😄Naam na hiyo ndiyo kazi ya masikio
Nitajie mmojaMwanangu kuna madereva kadhaa wana Masters....
,,,,,,,Badili mtazamo...........
Na watoto pia wanamwagia ndani sana hawa jamaaaNilisikia Wana mwanamke Kila kituo wanacholala
Hatari wanaloweka tuu....full burudani. Kazi nzuri sana hiiWoteee malaya
HaitakusaidiaNitajie mmoja
Wakikutana ni uongo uongo mtupu kama wanavyowadanganya wanawake njiani na gesti, mikate sita vijiji sita na wanawake sita.Karibu utiririke…View attachment 3202512
Mbona bodaboda wote wanafanana kama mapacha.Kwani wote ni watoto wa baba na mama mmoja?