Mjukuu wa kigogo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2023
- 445
- 1,094
Hivi karibuni Kuna kundi la watu walikuwa wanapita na kujinadi wanatafuta kununua noti za shilingi 500 Kwa kununua noti Kwa kuanzia na bei ya shilingi 2000 mpaka 20000 Kwa noti Moja.
Na kweli walikuwa wananunua. Lakini Ulibaini Nini Kwa wanunuzi hao?
Na kweli walikuwa wananunua. Lakini Ulibaini Nini Kwa wanunuzi hao?