Uliweza kustukia mchezo kutoka kwa wanunuzi wa noti ya 500?

Uliweza kustukia mchezo kutoka kwa wanunuzi wa noti ya 500?

Haahaaaaa
Bhna story ilikuwa hivi...Kuna wachina Walitaka kutengeneza pesa wakaona Kule kwao kuna wajanja wengi kwahyo wakaamua kuja Bongo, Walipofika wakatangaza kununua Paka na wakasema kwamba Paka mmoja Ni Tsh 50,000/- ukimpeleka akiwa mzma..

Bhasi watoto wa mjini wakasema pesa si hiyo imejileta Wakaanza kusaka paka za kutosha mwezi paka 10 akaleta akapewa 500,000 yake na mwenye zaisi akafanya hivyo na alipata mpunga wake..

Sasa kutokana na kuuzwa kwa paka wengi sana paka wakaadimika kijijini ikabidi waanze kifata mpaka vijiji vya jirani kusanya paka kama hawana akili nzuri watu wakawa wanaokota maokoto tu...

Sasa ile point mchina baada ya kuona paka wamekuwa adimu hapo na yeye ndo akachukua oportunit akatangaza kuongeza Dau la paka Akasema paka Mmoja ni 200k Utapewa kama akiwa mzima...
Sasa hapo watu moto ukawashika..
(Siunajua masikini akiwa anawaza hela huwa akili inaruka)
Wakaenda mpaka vijiji vya Jirani Hola ...
Sasa walichofanya ni kwamba walienda kijiji cha mbali kidogo wakawapa watu wale paka waliouziwa wawauzie kwa 100k mmoja wale watu walishangaa ila waliambiwa lazma watu watakuja kununua hawa paka na wataisha leo leo...
Halafu wale wachina wakawaambia washikaji tumesikia kijiji X kuna paka nendeni mkacheck huko Hlafu mkipata Jumamosi njooni hapa warehousing tutanunua kwa 500k mmoja..

Waafrika sas kwa uroho wa pesa wakaenda kile kijiji wakanunua paka wote 😀😀 kwa bei kubwa Mmoja walinunua kwa 150k
Waliporudi hiyo jumamosi wachina walikuwa wameshachukua Pesa na wamesepa wao wamejaza kijiji kizima mipaka Ya kutosha 😀😀 kama Ng'ombe..

Na hela ya mchina ika wa imerudi mara mbili yake
 
Tueleze sasa mantiki ya kununua 500 Kwa 50k
Bhna story ilikuwa hivi...Kuna wachina Walitaka kutengeneza pesa wakaona Kule kwao kuna wajanja wengi kwahyo wakaamua kuja Bongo, Walipofika wakatangaza kununua Paka na wakasema kwamba Paka mmoja Ni Tsh 50,000/- ukimpeleka akiwa mzma..

Bhasi watoto wa mjini wakasema pesa si hiyo imejileta Wakaanza kusaka paka za kutosha mwezi paka 10 akaleta akapewa 500,000 yake na mwenye zaisi akafanya hivyo na alipata mpunga wake..

Sasa kutokana na kuuzwa kwa paka wengi sana paka wakaadimika kijijini ikabidi waanze kifata mpaka vijiji vya jirani kusanya paka kama hawana akili nzuri watu wakawa wanaokota maokoto tu...

Sasa ile point mchina baada ya kuona paka wamekuwa adimu hapo na yeye ndo akachukua oportunit akatangaza kuongeza Dau la paka Akasema paka Mmoja ni 200k Utapewa kama akiwa mzima...
Sasa hapo watu moto ukawashika..
(Siunajua masikini akiwa anawaza hela huwa akili inaruka)
Wakaenda mpaka vijiji vya Jirani Hola ...
Sasa walichofanya ni kwamba walienda kijiji cha mbali kidogo wakawapa watu wale paka waliouziwa wawauzie kwa 100k mmoja wale watu walishangaa ila waliambiwa lazma watu watakuja kununua hawa paka na wataisha leo leo...
Halafu wale wachina wakawaambia washikaji tumesikia kijiji X kuna paka nendeni mkacheck huko Hlafu mkipata Jumamosi njooni hapa warehousing tutanunua kwa 500k mmoja..

Waafrika sas kwa uroho wa pesa wakaenda kile kijiji wakanunua paka wote 😀😀 kwa bei kubwa Mmoja walinunua kwa 150k
Waliporudi hiyo jumamosi wachina walikuwa wameshachukua Pesa na wamesepa wao wamejaza kijiji kizima mipaka Ya kutosha 😀😀 kama Ng'ombe..

Na hela ya mchina ika wa imerudi mara mbili yake
 
Tueleze sasa mantiki ya kununua 500 Kwa 50k
Mantiki yake ntakupa consipiracy theory mbili..

Ya kwanza
Ya kwanza ni huenda BOT wanataka kuiondoa kwenye Mfumo yaani kwenye Transaction na ni vigumu kuwaambia watanzania kuwa walete pesa walizonazo wabadilishe lazma utafail...

Kama utakumbuka hii ilikuwa hivyo hata kwenye 200 ya noti miaka ya 2000s mwanzoni

Ya pili..
Kuna wahuni wamejigeuza Wajanja kuiongeza Thamni Hiyo pesa ili wazunguke waiuze then wapige pesa
 
Mantiki yake ntakupa consipiracy theory mbili..

Ya kwanza
Ya kwanza ni huenda BOT wanataka kuiondoa kwenye Mfumo yaani kwenye Transaction na ni vigumu kuwaambia watanzania kuwa walete pesa walizonazo wabadilishe lazma utafail...

Kama utakumbuka hii ilikuwa hivyo hata kwenye 200 ya noti miaka ya 2000s mwanzoni

Ya pili..
Kuna wahuni wamejigeuza Wajanja kuiongeza Thamni Hiyo pesa ili wazunguke waiuze then wapige pesa
Umewaza mbali sana mkuu Kwa issue ya kawaida kabisa
 
Umewaza mbali sana mkuu Kwa issue ya kawaida kabisa
Mkuu hiyo sio Ishu ndogo unajua kwenye Alama za Taifa currencies pia Imo kama alama za Taifa..

Kuchezea alama ya Taifa huku Serikali ikikaa kimya Hiyo inafikirisha Sana nadhani unafahamu kuwa Bendera ya Taifa inauzwa kwenye maduka maalumu na sio kila duka (Huu ni mfano) na kuna sheria za ulinzi wa Alama za Taifa na ndo maana huwezi kukuta Nyimbo ya Taifa inapigwa hovyo isipokuwa kwa Tukio maalum..

Sasa unapoona Alama ya taifa mojawapo inachezewa na serikali imekaa kimya ujue wao huenda ndo wameidhinisha kwa operation fulani
I think unatakiwa ujue kuhusu some kind of clasffied National Strategies....
 
Bhna story ilikuwa hivi...Kuna wachina Walitaka kutengeneza pesa wakaona Kule kwao kuna wajanja wengi kwahyo wakaamua kuja Bongo, Walipofika wakatangaza kununua Paka na wakasema kwamba Paka mmoja Ni Tsh 50,000/- ukimpeleka akiwa mzma..

Bhasi watoto wa mjini wakasema pesa si hiyo imejileta Wakaanza kusaka paka za kutosha mwezi paka 10 akaleta akapewa 500,000 yake na mwenye zaisi akafanya hivyo na alipata mpunga wake..

Sasa kutokana na kuuzwa kwa paka wengi sana paka wakaadimika kijijini ikabidi waanze kifata mpaka vijiji vya jirani kusanya paka kama hawana akili nzuri watu wakawa wanaokota maokoto tu...

Sasa ile point mchina baada ya kuona paka wamekuwa adimu hapo na yeye ndo akachukua oportunit akatangaza kuongeza Dau la paka Akasema paka Mmoja ni 200k Utapewa kama akiwa mzima...
Sasa hapo watu moto ukawashika..
(Siunajua masikini akiwa anawaza hela huwa akili inaruka)
Wakaenda mpaka vijiji vya Jirani Hola ...
Sasa walichofanya ni kwamba walienda kijiji cha mbali kidogo wakawapa watu wale paka waliouziwa wawauzie kwa 100k mmoja wale watu walishangaa ila waliambiwa lazma watu watakuja kununua hawa paka na wataisha leo leo...
Halafu wale wachina wakawaambia washikaji tumesikia kijiji X kuna paka nendeni mkacheck huko Hlafu mkipata Jumamosi njooni hapa warehousing tutanunua kwa 500k mmoja..

Waafrika sas kwa uroho wa pesa wakaenda kile kijiji wakanunua paka wote 😀😀 kwa bei kubwa Mmoja walinunua kwa 150k
Waliporudi hiyo jumamosi wachina walikuwa wameshachukua Pesa na wamesepa wao wamejaza kijiji kizima mipaka Ya kutosha 😀😀 kama Ng'ombe..

Na hela ya mchina ika wa imerudi mara mbili yake
Japo walichofanya ni uhalifu, lakini walitumia akili hasa.
 
Back
Top Bottom