Uliwezaje ku move on kwa mtu uliyempenda sana?

Uliwezaje ku move on kwa mtu uliyempenda sana?

Kama maisha yako umeyaegemeza kwenye kisasini chochote (movable, unstable object), kamwe katu usitegemee kuwa imara pale mambo yanapoenda mrama.

Iwapo kuna jambo moja ambalo mwanadamu anapaswa kujifunza, basi ni kwamba moyo ni idara nyeti mno kumkabidhi mtu mwingine autawale apendavyo.

Ni kweli kupenda kupo, lakini upendo bila akili yenye maarifa ni upumbavu. Blind love will always lead the very individuals into a ditch.
 
𝙈𝙪𝙝𝙞𝙢𝙪 :!
𝚄𝚔𝚒𝚏𝚒𝚔𝚊 𝚕𝚎𝚟𝚎𝚕 𝚢𝚊 𝚔𝚞𝚓𝚞𝚊 𝚔𝚞𝚊𝚌𝚑𝚒𝚕𝚒𝚊 𝚟𝚒𝚝𝚞 𝚟𝚢𝚊 𝚣𝚊𝚖𝚊𝚗 𝚔𝚞𝚙𝚒𝚝𝚊. 𝚄𝚖𝚎𝚖𝚊𝚕𝚒𝚣𝚊 𝚔𝚒𝚕𝚊 𝚔𝚒𝚝𝚞,

𝙹𝚒𝚏𝚞𝚗𝚣𝚎 𝚔𝚞𝚊𝚌𝚑𝚊 𝚟𝚒𝚝𝚞 𝚟𝚒𝚎𝚗𝚍𝚎𝚎 𝚒𝚕𝚒 𝚟𝚒𝚝𝚞 𝚊𝚞 𝚠𝚊𝚝𝚞 𝚠𝚊𝚙𝚢𝚊 𝚠𝚊𝚓𝚎..
 
Love is just like a war easy to start difficult to end.

Niliwai penda sikua na pesa Wala Maisha nikaachwa solemba akaenda kuolewa alichoka zile NGOJA,KESHO,BAADAE zangu nikakonda nikapukutika ilikua inapita siku tatu sijala chochote.

Usiku unakaa macho mpaka asubuh ndipo unalala kidogo mawazo mengi mengi yana cross medulani

Nilivuka salama nikiwa very strong & heartless
 
Love is just like a war easy to start difficult to end.

Niliwai penda sikua na pesa Wala Maisha nikaachwa solemba akaenda kuolewa alichoka zile NGOJA,KESHO,BAADAE zangu nikakonda nikapukutika ilikua inapita siku tatu sijala chochote.

Usiku unakaa macho mpaka asubuh ndipo unalala kidogo mawazo mengi mengi yana cross medulani

Nilivuka salama nikiwa very strong & heartless
Napitia kwenye hii hali.

Naumia sana ila sina jinsi.

Sikuwahi kuwaza kama mapenzi yanaweza kunifanya hivi.

Nahisi kufa kufa tu.
 
Back
Top Bottom