Mafanikio ni kuwa na pesa za kuweza kutosheleza mahitaji yako yote au ya familia na kuweza kuweka akiba ya kutosha wakati wa dharura bila kutetereka kwa muda mrefu.Kwanza kufanikiwa nini kwa mtazamo wako? Maana inaweza kuwa na maana tofaiti kati ya mtu na mtu
Usisahau consistency.In order to be successful in real life it only needs three things courage, determination and discipline. Because discipline it will take you to the place where motivation can't.
nami nlitka niulize hiliUwezakano wa kusev 1.8m mwak w 3 tu?
Uwezakano wa kusev 1.8m mwak w 3 tu?
Anataka kusema siku 365 katumia laki 2nami nlitka niulize hili
Inawezekana kwako zisifanye kazi lakini kwa mwingine zikafanya kazi.motivation spaeaker go lost you.
these things you listed here doesn't work any how in the field. life and successful always work in mysterious ways.
in Islam we say:,
Juhudi HAZISHINDI KUDRA.
[emoji3]Wote mliojibu Uzi wa jamaa mmefanikiwa au ndo motivation speakers
swaumu ni jina la sister du mmoja huku kitaa au ulimaanisha kitunguu...???Tangawizi na swaumu boss wangu.
According to you are Religion Beliefs.in Islam we say:,
Juhudi HAZISHINDI KUDRA.
Mafanikio Ni pesa , hayo mafanikio mengine hufuata acha kujiliwaza.Naona mwandishi ame focus sana kuwa mafanikio ni kuwa na mapesa mengi, mapene wingi wa biashara na malimbikizi ya majumba na mali zingine nyingi nyingi.. ame base kwenye mafanikio ya aina moja tu.. MAFANIKIO NI NINI? Mtu akifanikiwa anakuaje? Tabia kiujumla au awe na pesa tu na kusaidia ndugu zake.. njia gani? Kapata hayo mafanikio ya kifedha kweli ameua na kutoa kafala ndio kapata mapesa je? Hayo ni mafanikio.. je? Anamapesa mengi ila amezaa na wanawake zaidi ya 7 na hatoi huduma mafanikio ya pesa ya a faida gani?.. mtoa mada sorry sana .. ngoja niache tu hii mada naona haipo upande wangu
Kitunguu bro.swaumu ni jina la sister du mmoja huku kitaa au ulimaanisha kitunguu...???
Mkuu chuo ni miezi 8 na wala sio 12.Anataka kusema siku 365 katumia laki 2
Mkuu inawezakana ukiwa nia japokua home lia walikuwa wananipa sapoti.Uwezakano wa kusev 1.8m mwak w 3 tu?
Ukisema unapew sapoti unazungumzia tabaka lingine kabisa.. KUNA wat wakipat bum wanasapoti nyumbani! Hawa watalaumiwa bure hapa na wenye mitajMkuu inawezakana ukiwa nia japokua home lia walikuwa wananipa sapoti.
Kabisa kaka mtu unatakiwa kujitambua wewe ni nani,umetoka wapi na wa kina nani wapo nyuma yako..Sijafanikiwa ila nafikiri nidhamu ya kazi, nidhamu ya pesa, kujitambua na kutokuiga maisha katika suala la starehe ndo msingi
[emoji3][emoji3] ni kweli kaka ila katika familia niliyotoka sidhani kama ningebweteka baada ya chuo ningefika hapa nilipo japokua mola ndo mjuzi wa yote.Ukisema unapew sapoti unazungumzia tabaka lingine kabisa.. KUNA wat wakipat bum wanasapoti nyumbani! Hawa watalaumiwa bure hapa na wenye mitaj