Umesema neno form six nimejikuta nawaza mbali sanaWakuu mje kunitia moyo. Mimi nimemaliza form six mwaka huu. Ila naona ndoto yangu ya ujasiriamali ni kubwa kuliko kupoteza miaka 3 chuo na kozi zisizona uhalisia.
kwann mkuu?Umesema neno form six nimejikuta nawaza mbali sana
Ni utumwa sana unashindwa kukaa karibu na familia kisa kazi za watu, ni bora uwe mbali na familia kwa kitu ulichojiajiri mwenyewe kuliko kaz ya kuajiriaNilikuwa nikichukia sana nilipokuwa namuona baba yangu akiamka asubuhi na kurudi jion akisema anakwenda kazini mara nyingine tusimuone wiki au mwezi mzima nyumbani akiwa safarini.
Umesema neno form six nimejikuta nawaza mbali sana
Nakushauri tafuta course inakayokujengea knowledge ya biashara zaid.Miaka 3 sio mingi wakati unazidi kujenga idea's zaidi ndipo ujiajiri.Utajifunza kutengeneza business plan,Jinsi ya kumanage kodi,utunzaji fedha kitaalam nk. Umesoma combination gn advanceWakuu mje kunitia moyo. Mimi nimemaliza form six mwaka huu. Ila naona ndoto yangu ya ujasiriamali ni kubwa kuliko kupoteza miaka 3 chuo na kozi zisizona uhalisia.
Mbona kitu simple tu!Habari yenu wakuu, ni matumaini yangu mu wazima wa afya.
Kumekua na misemo na dhana kwamba wasomi wengi hawapendi au wanashindwa kujiajiri, na hutegemea kuajiriwa tu au kazi za mteremko. Mliojiajiri hebu tuambieni mliwezaje kufungia hayo magamba ndani kisha mkaingia mtaani .