Evvy jr
Senior Member
- Apr 23, 2017
- 148
- 189
Habari yenu wakuu, ni matumaini yangu mu wazima wa afya.
Kumekua na misemo na dhana kwamba wasomi wengi hawapendi au wanashindwa kujiajiri, na hutegemea kuajiriwa tu au kazi za mteremko. Mliojiajiri hebu tuambieni mliwezaje kufungia hayo magamba ndani kisha mkaingia mtaani .
Kumekua na misemo na dhana kwamba wasomi wengi hawapendi au wanashindwa kujiajiri, na hutegemea kuajiriwa tu au kazi za mteremko. Mliojiajiri hebu tuambieni mliwezaje kufungia hayo magamba ndani kisha mkaingia mtaani .