Uliwezaje kununua gari yako ya kwanza?

Wakuu habari ya hapa jukwaani.

Binafsi sina gari ila natamani sana kua na gari,mwaka 2017-2018 nilijaribu kufanya biashara ndogo ndogo na kuweka pesa ili angalau ninunue hata gari used ilipofika 2.3M nikaangukia pua...
Mungu akufanyie namna upate Golf πŸ™πŸ™
 
Wakuu habari ya hapa jukwaani.

Binafsi sina gari ila natamani sana kua na gari,mwaka 2017-2018 nilijaribu kufanya biashara ndogo ndogo na kuweka pesa ili angalau ninunue hata gari used ilipofika 2.3M nikaangukia pua...
Nilijichanga sana mpaka ndoto yangu ikatimia.
 
Wakuu habari ya hapa jukwaani.

Binafsi sina gari ila natamani sana kua na gari,mwaka 2017-2018 nilijaribu kufanya biashara ndogo ndogo na kuweka pesa ili angalau ninunue hata gari used ilipofika 2.3M nikaangukia pua...
Kwa kipato cha around 700k ninakushauri dunduliza kidogo kidogo, ukifikisha kama m 3 hivi, tafuta mkopo salama wenye riba nafuu ongezea kwenye pesa uliyodunduliza upate angalau m6 au 7.

Kwa bajeti hiyo utaweza kumvua mtu baby walker iliyo kwenye hali nzuri. Bora utulie na utafute taratibu.
 
Maza mdogo alinunua harrier yake, kabla haijafika akahamishiwa mkoani.

Ilopofika nikawa naitumia. Kule mkoani alikuwa anaendeshwa na gari ya ofisi. Hakuhitaji kuwa na gari ya pili.

Nikaitumia kwa miezi 6 akasema aniuzie. Nikamrushia 6M. Sikumlipa nyingine.

Toka siku hiyo gari ikawa yangu.

Gari iliofuata ni faida za Forex.
 
Shukrani mkuu na nilipoingia Zoom jana niliona mnyama Polo 6.3M namba DKT nikasema dah ....
 
Kila mmoja ana mipango yake mjini ukisoma uzi vizuri utaona hapo nina maisha gani au ni mtu wa namna gani.
Nikajua mipango inapokua mizuri acount ikinona ndo tamaa za gari zinakuja kumbe mnajikamua kabisaa ili umilki gari.
Nashauli utafute tu pesa habali ya gari achana nayo mkuu.
 
Si lazima kuendesha kila siku..muhimuniwe na chombo ndani
Ukimaliza kujikamua kumiliki gari pia jiandae kujikamua zaidi ili kuliendesha hilo gari.

Gari kubwa ya gari ipo baada ya kulinunua, usipokuwa makini, unaweza kuwa mtumwa wa gari.
 
Ewaaaaa Golf au Polo GTI ndo ugonjwa wangu hizo vyuma vikipita lazima nigeuze shingo kuangalia.
Kama ni gari yako ya kwanza usithubutu kununua european car's utajuta kwa hapa bongo. Nunua toyota baby walker hizi. IST, VITS n.k au allex/runx ukichepuka sana nenda na nissan.

NB:
Nimeshauri kutokana na kipato chako.
 
Wakuu habari ya hapa jukwaani.

Binafsi sina gari ila natamani sana kua na gari,mwaka 2017-2018 nilijaribu kufanya biashara ndogo ndogo na kuweka pesa ili angalau ninunue hata gari used ilipofika 2.3M nikaangukia pua...
Nilidunduliza mshahara na marupurupu kwa muda wa miaka miwili na nusu 2018 I bought my first and last car, mwaka huu mtu kaipiga mzinga najipanga upya ingawa changamoto zimezidi sana huu mwaka....Inshaa Allah february mwakani nitazikimbia daladala tena....
 
Aisee hongera na pole mkuu...uyo mtu ulimuazimisha? Gari haikua na bima kubwa?
 
Shukrani
Kama ni gari yako ya kwanza usithubutu kununua european car's utajuta kwa hapa bongo. Nunua toyota baby walker hizi. IST, VITS n.k au allex/runx ukichepuka sana nenda na nissan...

NB:
Nimeshauri kutokana na kipato chako....
 
Aisee hongera na pole mkuu...uyo mtu ulimuazimisha? Gari haikua na bima kubwa?
Nilimuazima baada ya dakika 10 napigiwa simu gari imekula kibati...

Yes haikuwa na bima kubwa so ni mwendo wa kuitengeneza kwa cash.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…