Uliwezaje kutatua tatizo la mchanga ukeni na mwenza wako?

Mchanga haubagui umeoa au ujaoa, ata ununue kahaba usishangae ukikuta nae anao.
Changamoto labda ikukute na ndoa ya kikatoliki, utakula tumbua Lina mchanga mpk kifo kiwatenganishe😂
Hapa KATAA Ndoa Wakipita WANASONYA WANATEMA MATE Kando
 
Kweli uke ni kama bahari huwezi jua inaishia wapi,kumbe kuna mbunye zina michanga.
Ni muhimu kuendelea kupata somo la sayansi la Uke.
 
Ha ha ha...ile reverse imenikumbusha mamaj wangu, alkuaga masta sana pale
Endeleeni na hizo reverse cowboy style nk yawakute ya kukatika "uboho"🤣
 
Hivi vijiti haviwekwi mkuu, ule Ni mfupa uliochochora anakua kazaliwa nao.
Vijiti vya uzazi WA mpango havikaagi kule
Kuna vijiti na vitanzi mkuu wanawekaga vitanzi kwenye papuchi kama sikosei
 
Ule mchanga haionekani mkuu, na wala ukichomoa kuangalia huuoni,
Yaani feeling yake ni ile Kama ufanyiwe blowjob na mtu asiyejua kuilamba,anavokuparaza na mimeno yake.
Yaan kama anakuna sehemu ambayo haina muwasho afu kwa kucha kaliii......akii umenikumbusha zile za kupapasa chuchu kama anafungua nati
 
Au anadate na fundi kujenga pia?? Aka fundi mwashi 😂😂
 
Hii mada aisee nimekumbuka mbali. Nina alama ya mchubuo hadi leo kwenye uume. Maana nilikua naikeshea. Ila utafanyaje. Unachubua ule
 
Duh
Kumbe kuna zenye sands?
Mnawaokotea wapi wa hivyo?
 
SIJAJUA jina lake halisia, nmetaja kutokana na Ile scratching yake Kama vile Kuna mchanga ndani
Kama ni hiyo scratching, basi huyu kapendelewa, ... Si Kuna condom pia Zina vi-upele kwa ajili eti ya kunogesha gemu?
 
Aisee watu wanangonoka wazee mpaka wanagundua mchanga? Mimi na umri huu nayajua leo hayo ipo siku mtu atakutana na zege kabisaa humo
 
Hii mpya...au alianguka kitumbua kikaingia mchanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…