Uliwezaje kuwa mlevi wa pombe(kunywa pombe)

KJ07

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2021
Posts
2,370
Reaction score
5,381
Alooooooooo.
Habari za wakati huu wana jukwaa.

Kama kawaida ya watu wengi wamekua wakizifagilia pombe kwamba ni miongoni wa starehe pendwa duniani.
Lakini kwangu mimi ni tofauti maana si mtumiaji wa pombe kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya kiafya.
Nahitaji uzoefu wenu katika hili.




NB:UKIONA Uzi hauJaKuvuTIa kaa mbali❗❗❗
 
nilianza hivi

nilikumbwa na hivi kwa muda mmoja nikashindwa kujisimamia uko kichwani, stress za kumpoteza kaka yangu mpendwa, hapo hapo mchumba akanitema, baada ya msiba wa bro biashara iliyumba nikarudisha mpira kwa kipa na ujobless ukaingia

taratiiibu nikawa nanunua k vant ndogo naibugia chumbani pekeyangu na msongo wangu inisaidie kupata usingizi, nilianza kila baada ya wiki mbili napata kitu, badae ikawa kila baada ya wiki moja napata kitu mida yangu ya night kali

siku za mwanzo mwanzo nilikuwa nikipiga k vant ndogo nikiimaliza nakuwa hoi nalala, lakini sahiv nikipiga nalewa kidogo lakini bado sipati usingizi

nilianza hivyo na sababu hizo, nimekuwa mnywaji sasa lakin sio mlevi. nitaachana na pombe naona mapito yangu yameshaanza kuisha taratibu. Ingawa bado sijasimama
 
Duuh pole sana mkuu kwa uliyoyapitia
 
Binafsi situmi, lakini sidhani kama ni ulevi mzuri huu wa pombe, sababu ikiingia kwenye damu kuiacha ni kazi kweli kweli.
 
Nilianza kitambo hicho nikiwa primary, nikapumzika kwa muda mrefu mpaka nilipomaliza form 4 nikawa napiga sikukuu tu.

Nilipomaliza six nikafungulia bomba, sasa ni mnywaji mzuri tu

Pombe tamu jama, msiokunywa mnakosa mengi.
 
Nilianza kitambo hicho nikiwa primary, nikapumzika kwa muda mrefu mpaka nilipomaliza form 4 nikawa napiga sikukuu tu.

Nilipomaliza six nikafungulia bomba, sasa ni mnywaji mzuri tu

Pombe tamu jama, msiokunywa mnakosa mengi.
Naunga mkono hii hoja ya muhimu na makini sana...😊
 
Kwanini unajikosesha raha namna hiyo mkuu, unataka kuishi maisha marefu??

Ukoo wenu ni watu mnaoishi maisha marefu, hayo ni mambo ya vinasaba ujue.
Ahahahah hapana mkuu.Hata sikukusudia na wala hata sijilazimish kuishi hivi.Ni vile tu nadhan nimekuzwa hivyo basi.Na siwalaumu au kuwatamani wanaokunywa
 
Nilivyoona heading tu nikaamini lazima nimkute mwalimu wangu hapa.
Nisamehe kipenzi, sikujua kama utapita huku...😘
Nakuja kula chakula cha jioni leo hapo daslam
 
Nilikuwa naenda na babu yangu huko baa! now, kusubiri kulewa kwa bia ni kupoteza muda tu bia nakunywa kukata kiu!! πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…