Uliwezaje kuzivuka changamoto na magumu uliyopitia maishani?

Uliwezaje kuzivuka changamoto na magumu uliyopitia maishani?

Kutokuogopa kuanza tena. Kuanza from the scratch, bila kuwaza wanadamu watakuonaje
 
[emoji120][emoji120][emoji120]
I remember nilipo achaga kaz, 2020 ni kama nilianza maisha upya kwa ghafla. Maana ndani ya muda mfupi tuu nilijikuta siwez ku afford alot of thing mpka kulipa ada za watoto shule..yan kila kitu kika change ndani ya muda mfupi sana.
Nilijitahid kuhakikisha mind yangu inakaa kwa utulivu bila kujali sina kitu na sina sina tumain lolote la kupata kitu any time soon..
But with time and trials and focus and decisions za hapa na pale i started to get on my feet but it took quiet some time..long time
 
Habari za muda huu ndugu zanguni.

Maishani mwetu wakati mwingine hutokeza changamoto na magumu mbali mbali yanayotukabili na kukabiliana nayo.

Changamoto za kimaisha na magumu kwenye harakati za maisha wakati fulani hutufanya kuvunjika mioyo na kuona kama dunia imekuelemea.

Lakini nyakati hizo ngumu hupaswi kuvunjika moyo na kukata tamaa bali kukabiliana na magumu.

Lakini pia kujua ya kuwa haupo peke yako kwenye changamoto na magumu hayo kunaweza kuongeza nguvu na ari ya kukabiliana nayo kupitia simulizi na habari za watu waliopitia changamoto na magumu maishani vinaweza kufufua tumaini lililokufa maishani mwako na kuyashinda majaribu.

Najua hata humu jamvini wapo watu walio wahi kupitia mikasa, visa na changamoto mbali mbali maishani lakini waliweza kuvuka na kuwa washindi na kubakia historia maishani mwao.

Kama hautojali unaweza uka share nasi kisa chako na kuwapa mwanga watu wanaopitia changamoto na magumu maishani humu jamvini.

Karibuni Sana wanajamvi.
Kuomba,uvumilivu na kufanya kazi kutatua hizo changamoto.
 
I remember nilipo achaga kaz, 2020 ni kama nilianza maisha upya kwa ghafla. Maana ndani ya muda mfupi tuu nilijikuta siwez ku afford alot of thing mpka kulipa ada za watoto shule..yan kila kitu kika change ndani ya muda mfupi sana.
Nilijitahid kuhakikisha mind yangu inakaa kwa utulivu bila kujali sina kitu na sina sina tumain lolote la kupata kitu any time soon..
But with time and trials and focus and decisions za hapa na pale i started to get on my feet but it took quiet some time..long time
Mfano halisi kabisa
 
Habari za muda huu ndugu zanguni.

Maishani mwetu wakati mwingine hutokeza changamoto na magumu mbali mbali yanayotukabili na kukabiliana nayo.

Changamoto za kimaisha na magumu kwenye harakati za maisha wakati fulani hutufanya kuvunjika mioyo na kuona kama dunia imekuelemea.

Lakini nyakati hizo ngumu hupaswi kuvunjika moyo na kukata tamaa bali kukabiliana na magumu.

Lakini pia kujua ya kuwa haupo peke yako kwenye changamoto na magumu hayo kunaweza kuongeza nguvu na ari ya kukabiliana nayo kupitia simulizi na habari za watu waliopitia changamoto na magumu maishani vinaweza kufufua tumaini lililokufa maishani mwako na kuyashinda majaribu.

Najua hata humu jamvini wapo watu walio wahi kupitia mikasa, visa na changamoto mbali mbali maishani lakini waliweza kuvuka na kuwa washindi na kubakia historia maishani mwao.

Kama hautojali unaweza uka share nasi kisa chako na kuwapa mwanga watu wanaopitia changamoto na magumu maishani humu jamvini.

Karibuni
 
Habari za muda huu ndugu zanguni.

Maishani mwetu wakati mwingine hutokeza changamoto na magumu mbali mbali yanayotukabili na kukabiliana nayo.

Changamoto za kimaisha na magumu kwenye harakati za maisha wakati fulani hutufanya kuvunjika mioyo na kuona kama dunia imekuelemea.

Lakini nyakati hizo ngumu hupaswi kuvunjika moyo na kukata tamaa bali kukabiliana na magumu.

Lakini pia kujua ya kuwa haupo peke yako kwenye changamoto na magumu hayo kunaweza kuongeza nguvu na ari ya kukabiliana nayo kupitia simulizi na habari za watu waliopitia changamoto na magumu maishani vinaweza kufufua tumaini lililokufa maishani mwako na kuyashinda majaribu.

Najua hata humu jamvini wapo watu walio wahi kupitia mikasa, visa na changamoto mbali mbali maishani lakini waliweza kuvuka na kuwa washindi na kubakia historia maishani mwao.

Kama hautojali unaweza uka share nasi kisa chako na kuwapa mwanga watu wanaopitia changamoto na magumu maishani humu jamvini.

Karibuni Sana wanajamvi.
Mimi bado sielewi nafanyaje na nimemaliza chuo niko home tu na mshua, japo napata kila kitu ila nataka kutoka home niwe na kwangu na maisha yangu, kile nilchosomea nimekuj kugundua sikipendi baada ya kumaliza, nilataka kuingia jeshi, sabab mshua yuko huko ila naona mambo hayaend, kuhus kipaji labd nina passiion ya kuwa producer wa music , miliwah fanya nilipokuw na age ya 18- 22, nikapuuza baad ya kuingia chuo, ishues za video shooting, directing ziko damuni, ola mpaka now sijaelewa nishike lipi niache lipi, niko na mawazo mengi, na nawaza kufika mbali kiuchumi age 25
 
Naona huu UZI umeniandikia mimi Kiongozi..Barikiwa..ngoja nizidi kupiga GOTI,SUBIRA + kutengeneza network sahihi
 
Habari za muda huu ndugu zanguni.

Maishani mwetu wakati mwingine hutokeza changamoto na magumu mbali mbali yanayotukabili na kukabiliana nayo.

Changamoto za kimaisha na magumu kwenye harakati za maisha wakati fulani hutufanya kuvunjika mioyo na kuona kama dunia imekuelemea.

Lakini nyakati hizo ngumu hupaswi kuvunjika moyo na kukata tamaa bali kukabiliana na magumu.

Lakini pia kujua ya kuwa haupo peke yako kwenye changamoto na magumu hayo kunaweza kuongeza nguvu na ari ya kukabiliana nayo kupitia simulizi na habari za watu waliopitia changamoto na magumu maishani vinaweza kufufua tumaini lililokufa maishani mwako na kuyashinda majaribu.

Najua hata humu jamvini wapo watu walio wahi kupitia mikasa, visa na changamoto mbali mbali maishani lakini waliweza kuvuka na kuwa washindi na kubakia historia maishani mwao.

Kama hautojali unaweza uka share nasi kisa chako na kuwapa mwanga watu wanaopitia changamoto na magumu maishani humu jamvini.

Karibuni Sana wanajamvi.
Nlisoma Sana bible Na kusali sana
 
Habari za muda huu ndugu zanguni.

Maishani mwetu wakati mwingine hutokeza changamoto na magumu mbali mbali yanayotukabili na kukabiliana nayo.

Changamoto za kimaisha na magumu kwenye harakati za maisha wakati fulani hutufanya kuvunjika mioyo na kuona kama dunia imekuelemea.

Lakini nyakati hizo ngumu hupaswi kuvunjika moyo na kukata tamaa bali kukabiliana na magumu.

Lakini pia kujua ya kuwa haupo peke yako kwenye changamoto na magumu hayo kunaweza kuongeza nguvu na ari ya kukabiliana nayo kupitia simulizi na habari za watu waliopitia changamoto na magumu maishani vinaweza kufufua tumaini lililokufa maishani mwako na kuyashinda majaribu.

Najua hata humu jamvini wapo watu walio wahi kupitia mikasa, visa na changamoto mbali mbali maishani lakini waliweza kuvuka na kuwa washindi na kubakia historia maishani mwao.

Kama hautojali unaweza uka share nasi kisa chako na kuwapa mwanga watu wanaopitia changamoto na magumu maishani humu jamvini.

Karibuni Sana wanajamvi.
.
 
Wakati huo Utapewa ushauri tofautitofauti,
Mwisho kabisa final say utakuwa wewe mwenyewe tu,
Kikubwa uwe na subira.
 
Think about it
FB_IMG_1707148238985.jpg
 
Back
Top Bottom