Uliye kuwa unatoka na Ex- wangu please mjali kuwa nae busy basi

Uliye kuwa unatoka na Ex- wangu please mjali kuwa nae busy basi

Master ulie mdanganya uyo mdada mbona penzi lenu limefifia mapema ivyo nyodo zote alizokuwa nazo mbona hana kisa nini nilivyo amua kumpuuza au?

Inasikitisha Sana mpenzi wa mtu unampigia ex wako unamwambia "moyo wangu Leo unaniuma Sana uko salama uko ulipo".

Hivi hana watu wengine wa kumufanya moyo wake uumie zaidi yangu?

Wanawake "if you realize how hard people used to heal and regain their peace of mind you should respect boundaries"
Nimemaliza
Nimembebesha mimba ndo inayompa wenge mpaka anakutafuta!
 
Mleta mada kwa sasa
FB_IMG_1587844581676.jpg
 
Umemuacha halafu bado unajua habari zake,either yy ndio kakuacha au bado unampenda ndio maana umekuja kumuanzishia hadi uzi hapa while kuna njemba huko inampumulia kichogoni mida hii
 
Piga sepa,nini hii unaumia nayo?
Kipindi hiki siyo Cha kuwekeza kwenye mapenzi.
Akiona hutoshei we sepa, hakuna kinachodumu...siku anakumbuka alipoteza at least akakumbatia nothing....keshachelewa🤒
 
Poleni kwa kadhia hiyo wakurugenzi wa maswala ya mahusiano. Mkiachana hakuna haja ya kuendeleza mawasiliano labda kama bado mnakulana kisiri siri.
 
Back
Top Bottom