Uliye kuwa unatoka na Ex- wangu please mjali kuwa nae busy basi

Uliye kuwa unatoka na Ex- wangu please mjali kuwa nae busy basi

Master ulie mdanganya uyo mdada mbona penzi lenu limefifia mapema ivyo nyodo zote alizokuwa nazo mbona hana kisa nini nilivyo amua kumpuuza au?

Inasikitisha Sana mpenzi wa mtu unampigia ex wako unamwambia "moyo wangu Leo unaniuma Sana uko salama uko ulipo".

Hivi hana watu wengine wa kumufanya moyo wake uumie zaidi yangu?

Wanawake "if you realize how hard people used to heal and regain their peace of mind you should respect boundaries"
Nimemaliza
Unaenda kuwa mchepuko soon
 
Master ulie mdanganya uyo mdada mbona penzi lenu limefifia mapema ivyo nyodo zote alizokuwa nazo mbona hana kisa nini nilivyo amua kumpuuza au?

Inasikitisha Sana mpenzi wa mtu unampigia ex wako unamwambia "moyo wangu Leo unaniuma Sana uko salama uko ulipo".

Hivi hana watu wengine wa kumufanya moyo wake uumie zaidi yangu?

Wanawake "if you realize how hard people used to heal and regain their peace of mind you should respect boundaries"
Nimemaliza
Kuba babake
Na huo ndio UANAUMEE 👍👍
 
Master ulie mdanganya uyo mdada mbona penzi lenu limefifia mapema ivyo nyodo zote alizokuwa nazo mbona hana kisa nini nilivyo amua kumpuuza au?

Inasikitisha Sana mpenzi wa mtu unampigia ex wako unamwambia "moyo wangu Leo unaniuma Sana uko salama uko ulipo".

Hivi hana watu wengine wa kumufanya moyo wake uumie zaidi yangu?

Wanawake "if you realize how hard people used to heal and regain their peace of mind you should respect boundaries"
Nimemaliza
Never ever return to your ex ni kama kufanya mtihani wa primary wakati upo chuo.
 
Itaonekana Nina ninyongo apologies accepted but acces denied

Mimi sijawahi kumfanyia ivyo nilikubari kuwa nimeachwa Tena ilikuwa kipindi nipo in rockbuttom
Pole. Samehe na usonge mbele.
 
Master ulie mdanganya uyo mdada mbona penzi lenu limefifia mapema ivyo nyodo zote alizokuwa nazo mbona hana kisa nini nilivyo amua kumpuuza au?

Inasikitisha Sana mpenzi wa mtu unampigia ex wako unamwambia "moyo wangu Leo unaniuma Sana uko salama uko ulipo".

Hivi hana watu wengine wa kumufanya moyo wake uumie zaidi yangu?

Wanawake "if you realize how hard people used to heal and regain their peace of mind you should respect boundaries"
Nimemaliza
Ulimla tiGo?
 
Kaza fuvu hawa viumbe ,wengine tulishapiga sindano ya gazi.
 
Back
Top Bottom