Uliye kuwa unatoka na Ex- wangu please mjali kuwa nae busy basi

Nimembebesha mimba ndo inayompa wenge mpaka anakutafuta!
 
Umemuacha halafu bado unajua habari zake,either yy ndio kakuacha au bado unampenda ndio maana umekuja kumuanzishia hadi uzi hapa while kuna njemba huko inampumulia kichogoni mida hii
 
Piga sepa,nini hii unaumia nayo?
Kipindi hiki siyo Cha kuwekeza kwenye mapenzi.
Akiona hutoshei we sepa, hakuna kinachodumu...siku anakumbuka alipoteza at least akakumbatia nothing....keshachelewa🤒
 
Poleni kwa kadhia hiyo wakurugenzi wa maswala ya mahusiano. Mkiachana hakuna haja ya kuendeleza mawasiliano labda kama bado mnakulana kisiri siri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…