mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Afu noma inakuja mko sehemu mnapiga story na washkaji wao wanaongelea mishe/biz zao halafu we umekomalia tu kusema boss wangu hivi boss wangu vile daah noma sana,kuna muda unaweza kuhisi mpk mawazo yako kwny group yanachukuliwa poa hahah.
Ndio maana wengine walikimbia huko kitambooooooo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana wengine walikimbia huko kitambooooooo.
Shida inakuja unapokua na safari zako,ratiba fulani na inakubidi kuomba ruhusa kwa heshima kwa kidume fulani
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app