Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,144
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo mifano yote niloweka huioni.Tuwekee mifano halisi ya watu waliojiajiri na kuweka malengo kisha wakarelax, zingatia nchi yetu hii sio habari za kina Jeff bla blah ulioambiwa tu na motivational speakers.... mnatuona wajinga sana au sio..!!
Tuwekee mifano ya Watanzania tafadhali, na kwamba wamerelax kwa kuwa wametimiza malengo.... huenda mimi siwajui hao uliotaja kwa kiasi cha kuwa mifano kwetu.
Asikudanganye mtu, eti mtaji hata laki utatoboa[emoji134]...huu ni uongo,
Pesa ya mtaji inahitajika nyingi tu
Nadhani umenisoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Ainisha makosa.Hivi ndugu unafahamu kuandika kiswahili kwa ufasaha?
Hawa ndio walimu wetu wa miaka hii.
Kwani nilowataja wakina nani sio watanzania awo...then wewe ujui hoja nini elewa jinsi ya ku-trace mbishano wa hoja ulipotokea maana naona wewe unaleta ‘RELAX’ yako ambayo hakuna mtu yoyote duniani anafanya sio tunayoizungumzia sisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu passage yote ile umepata misamiati miwili IDIO.1.awo
2.ujui
Ulicho Note ‘mbishano’ ila ‘mbishano wa hoja ujaona then unaingiliaje kati bila kujua hoja zimeanzia wapi...Mkuu sio najifanya najua ila nakwambia which to know before replying.Motivational speakers na vitabu vinawaharibu sana, kama lengo lako ni ku-trace mbishano endelea kushusha nondo mi nilidhani ni vitu halisia.... tuendelee kuwaponda watumwa.
Sikuwepo mwanzo wa mdahalo nilidakia kwenye post yako ulivyotaja kina Mama Alaska, Hadija Jabir, SirJeff na Bruno nikaja mbio nikijua naweza kuambulia kitu kumbe ni ubishani tu nauliza maswali nawe waniuliza.... matajiri nyie ni wasiri mno.
Mkuu tatizo wewe mwenyewe huwelewi unahitaji nini mifano nimekuwekea bado unataka mifano mifano gani sasa unataka..Hizi zote porojo tu jikite kwenye hoja usihamishe magoli, mimi sijui kitu ila sioni shida kudandia post yako ambayo kwa heshima zote nimedakia kwa kuomba mifano halisi na uthibitisho.... ilikuwa rahisi tu kama ulinielewa lengo ni kupeana elimu na hii sio kwa mimi tu na hata wengine tunaokuamini sana.