Uliyeniuzia simu hii hapo Kariakoo, niseme tu sisi ni watu na sio milima, tutakutana

Uliyeniuzia simu hii hapo Kariakoo, niseme tu sisi ni watu na sio milima, tutakutana

Melki Wamatukio

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2022
Posts
6,156
Reaction score
10,974
Hizi simu za Market Place ni basi tu. Baada ya makubaliano akaniambia nikachukue huo mzigo kwa bei che ya 60k. Nimefika, ile kutest kila kitu kiko poa

Niko home nikasema wacha niibusti, nashangaa inafika 64% inaacha kupeleka chaji. Nikatumia hivyo hivyo, ile inafika 30%, chaji inashuka kwa kiwango cha 1 Charge / sec. Nikabaki nimeduwaa tu, ikifika 0% haizimi, inaanza kujibofya, inaingia kwenye message inaandika kisha inatuma, inaingia kwenye calls inachagua wa kumsumbua inapiga, inawash
20240616_103733.jpg
a data, inaingia whatsapp inatuma picha za aibu, yaani mambo ni vururu, kisha inazima

Nimeipeleka kwa fundi, ile kufika fundi akasema wacha tubaini tatizo, kuifungua nakuta battery dogo la itel limepigwa super glue. Nimeishiwa nguvu, imebidi fundi anipoze 15k walau niambulie robo tatu hasara
 

Hii safari ya jana kumbe ilikua ni kununua simu?😹
 
Kwani ulikuwa na smart fone mbili kwa sababu. Naona simu yako ndio iyo yenye betri ndogo na uka muuzia fundi 15k Ina maana uliiacha hapo kwa fundi. Sasa umepiga picha saangapi na kupost jamii forum au baada ya kununua smart nyengine ulirudi kwa fundi kupiga picha iyo simu.🤔🤔
 

Hii safari ya jana kumbe ilikua ni kununua simu?😹
Ila ww Mnafiki sana, nasikia n ww pia umefanya uchawi mpaka ndoa ya watu imeyeyuka 😂
 
Back
Top Bottom