Uliyeniuzia simu hii hapo Kariakoo, niseme tu sisi ni watu na sio milima, tutakutana

Uliyeniuzia simu hii hapo Kariakoo, niseme tu sisi ni watu na sio milima, tutakutana

Una kila sababu ya kupigwa. Naomba ninukuu kauli ya Pinda, wapigwe tuu. Uzembe ukizidi hakuna namna.
Hata maandiko yanasema watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa. Samahani kama nimekukera
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka hadi machoziii, khaaaah
 
Back
Top Bottom