DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Wanafunzi naomba muulize chochote kuhusu kuhama Chuo /vyuo vikuu .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ndani ya mwezi mmoja Pamoja na mkopo wako Kama unao kutoka HelsbKuhama chuo inahitaji process zipi mkuu? Na inaweza kuchukua muda gani mpaka kukamili
Aah sawa sawa maandalizi yapi yanatakiwa mkuu?Ni ndani ya mwezi mmoja Pamoja na mkopo wako Kama unao kutoka Helsb
Swal lang mm nikwamb nimeomb chuo ila natak kuhama kwaio ni mda gan utachukua kuweza kupata transfer kwend chuo kingineWanafunzi naomba muulize chochote kuhusu kuhama Chuo /vyuo vikuu .
Na vp kuhusu mkop ni njia zipi utatumiaa mpka mkop ukahama kutoka chuo ulichotok kwend chuo unachotakWanafunzi naomba muulize chochote kuhusu kuhama Chuo /vyuo vikuu .
Kuhama chuo unasubir dirisha la transfer unaweza kuangalia Prospectus ya TCU ya mwaka wa masomo 2022/2023 hapo utahama , hatua ya kwanza utaenda katika chuo unachotaka kuhamia ...huku ukiwa na Admission lettter ya chuo ulicho confirm that All . Hizo process hazichuki Muda Mrefu Ni kipindi Cha transfer kinapoanza.Kuhama chuo inahitaji process zipi mkuu? Na inaweza kuchukua muda gani mpaka kukamilika?
Baada ya kuhamia chuo unachotaka ,utaenda kwa loan officer/ Afisa Mkopo then atatuma taarifa zako Helsb na mkopo wako utahama ndani ya siku 30 tu .Na vp kuhusu mkop ni njia zipi utatumiaa mpka mkop ukahama kutoka chuo ulichotok kwend chuo unachotak
Soma tarehe za transfer katika prospectus ya TCU maana yake utahama katika kipindi Cha dirisha la transfer na process haziwezi kuzidi wiki 2 kuzikamilisha baada ya hapo utahamisha mkopo wako kupitia kwa loan officer.Na vp kuhusu mkop ni njia zipi utatumiaa mpka mkop ukahama kutoka chuo ulichotok kwend chuo unachotak
Naweza kuhama chuo kutoka St Joseph ya Dar kwenda Ifakara MD ni vigezo vipi nifuate?
Hatua ya kwanza unaenda chuo husika unaomba nafasi then taarifa zako zitatumwa TCU huku ukisubiri Feedback ya TCU lakini unakuwa unaendelea na masomoSabubu zipi zinamashiko linapokuja suala la kuhama chuo ili uruhusiwe vp unaanzia wap
Kuna mda wa kubadili kozi utakuepo kulingana na muongozo wa chuo husika....hivo utafuata taratibu na vigezo husika then ukifanikiwa unahamaMTU akitaka kuhama kozi chuo ni hichohicho afanyaje
Yaani unaenda tu kuomba nafasi? Hamna hata kuandika Barua barua, zipitishwe pitishwe hata chuo unachotoka?Hatua ya kwanza unaenda chuo husika unaomba nafasi then taarifa zako zitatumwa TCU huku ukisubiri Feedback ya TCU lakini unakuwa unaendelea na masomo
Swala la kuhama chuo lipo ndani ya TCU katika prospectus ya mwaka wa masomo 2022/2023.
Ni jambo Rahisi Sana Mkuu.
Unaanza unaconfirm chuo Cha kwanza then unachukua Admission lettterYaani unaenda tu kuomba nafasi? Hamna hata kuandika Barua barua, zipitishwe pitishwe hata chuo unachotoka?
So ni just kuomba nafasi unapotaka kuhamia? Na inakuwa imeisha?